TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,204
Leo nimesahau simu nyumbani.
Kwa kuwa kazi zangu haziniruhusu kutoka nimeshindwa kuifuata hivyo nimeona bora nimpigie kwa landline kumjulisha kuwa aniletee.
Alichonijibu kuwa eti, ni kwamba simu sio muhimu kwangu hivyo basi hawezi kuileta.
Yote hayo kayafanya sijui ni kwa sababu gani, hakika kanisababishia usumbufu usio na kifani
Kwa kuwa kazi zangu haziniruhusu kutoka nimeshindwa kuifuata hivyo nimeona bora nimpigie kwa landline kumjulisha kuwa aniletee.
Alichonijibu kuwa eti, ni kwamba simu sio muhimu kwangu hivyo basi hawezi kuileta.
Yote hayo kayafanya sijui ni kwa sababu gani, hakika kanisababishia usumbufu usio na kifani