marinji
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 413
- 472
- Thread starter
- #81
doooh mkuu utaharibu kabisaNipe number za shemaji yangu (Mke wako) Mimi najua namna ya kukuwekea sawa hadi bifu likaisha bila tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
doooh mkuu utaharibu kabisaNipe number za shemaji yangu (Mke wako) Mimi najua namna ya kukuwekea sawa hadi bifu likaisha bila tatizo
hakuna binadamu aliyekamilika ni mapungufu tu mkuu ya kiduniaNot fair mkeo akichepuka ungemfanyaje?????ungemtia majeraha ya maana,ungemuacha,ungemzalilisha.lakini wewe ****** baridi mbwa wewe umechepuka huko mshenzi type.mwana kulaaniwa bata wewe mxiuuuu umeniuzi ningekuwa nakujua ningekutumia boko haramu kunguni wewe
mkuu yaani hapa nilipo nimepoa yaan sijielewi afadhali nipo jf hapa nafarijikakuwa mpole tu,kubali yote.mi ilinitokea nilipigwaje makofi?nikawa navumilia tu,yaani mnaweza kuwa mmelala anaamka usiku na kuanza kunipa mabanzi ya ukweli,sometimes nilikuwa nastuka usingizini nikidhani majambazi washaingia ndani na wamenipiga bapa za panga kumbe makofi ya waifu tu,nilivumilia ndani ya mwezi yakaisha.
Ni muda wa kuwa mpole tu jombaa,hakuna namna
Dah wanawake wakikutait na kosa,ni shida mkuu
Sikuhizi hata vijijini wa pekee yako ni bidhaa adumuMwambie Mjini hakuna wa pekeyake !!
Mpe jibu moja reasonable focus siku ambayo yy anahic alikukera halafu mkaushie huwa wepesi kusamehe ila wagumu kusahau, reason ikiwa nzuri yy ndo anajiona mwenye makosa hata kama ni wwIko hivi nimeweka simu kwenye chaji kumbe hajarock wife akaitime kasoma kila kitu yaan nipo hapa home hakupikiki wala hakuliki hapakaliki ushauri wa haraka unahitatajika kuokoa ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu yaani hapa nilipo nimepoa yaan sijielewi afadhali nipo jf hapa nafarijika
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo hata wewe unae wa kuchepuka nae...?Sikuhizi hata vijijini wa pekee yako ni bidhaa adumu
Weweeeeee, asithubutukubali kosa lako kisha omba msamaha..ila usirudie...
Mimi sifanyi mapenzi mkuu niko sealed.kwahiyo hata wewe unae wa kuchepuka nae...?
Mzee utawadhe na usali uombe toba kwa Mwenyezi Mungu.Ukimaliza Mkabili mke wako umuombe msamaha na ujute na usirudie kuchepuka.Mwenyezi Mungu ni msamehevu ukimuomba na ukajuta na ukaahidi kutorudia na ukachukia ki=urudia.Iko hivi nimeweka simu kwenye chaji kumbe hajarock wife akaitime kasoma kila kitu yaan nipo hapa home hakupikiki wala hakuliki hapakaliki ushauri wa haraka unahitatajika kuokoa ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina zuri Anny.Edit namba kwenye hilo jina la chepuko. Jina libaki ila namba weka isiyopatikana, mengine yatafuata
Usituambie ujinga wako ssIko hivi nimeweka simu kwenye chaji kumbe hajarock wife akaitime kasoma kila kitu yaan nipo hapa home hakupikiki wala hakuliki hapakaliki ushauri wa haraka unahitatajika kuokoa ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
mmhh??!Mwambie Mjini hakuna wa pekeyake !!