marinji
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 413
- 472
Iko hivi nimeweka simu kwenye chaji kumbe hajarock wife akaitime kasoma kila kitu yaan nipo hapa home hakupikiki wala hakuliki hapakaliki ushauri wa haraka unahitatajika kuokoa ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app