thebogo055
Member
- Jun 22, 2020
- 19
- 176
Nina mwezi mmoja sasa tangu nimtolee huyu binti ambaye soon atakuwa mke wangu halali wa ndoa.
Kama unavyojua mila zetu Africa ukishatoa kishika uchumba + mahali binti anakuwa huru kuja kwako akaspend quality time na wewe bila kuwa na ile hofu ya wazazi kuulizwa ulizwa maswali au kutafutwa tafutwa.
Saa kabla ya kuamua kutulia na kufanya jambo la kumpendeza Mungu nilikuwa nimeacha mazoezi yangu yooooooote especially ya wanawake na mawasiliano yasiyokuwa na maana ili nikiwa na mwenzangu niwe huru kabisa maana najua wanawake wanapenda kukagua kagua simu na kuingia kwenye gallery kuangalia mapicha picha ya zamani na kuanza kuji compare. Nikawa nimeacha kabisa mambo hayo.
Sasa cha ajabu huyu mwenzangu sasa hivi amekuja naishi nae huku tukipanga maandalizi ya ndoa. Ila ananikagua kinoma na asipoona kitu ananiuliza kama nimeblock watu especially wanawake maana sitafutwi tafutwi hovyo.
Anauliza au labda kuna app nime-install inaficha mambo yangu kwenye simu. Jana kaniomba simu yangu akawa anaingia app moja moja kutaka kujua kama nina mazoezi ya wanawake. Hahahahahaha huwa nacheka sana.
Maisha ya kutulia raha sana asikuambie mtu.
Kama unavyojua mila zetu Africa ukishatoa kishika uchumba + mahali binti anakuwa huru kuja kwako akaspend quality time na wewe bila kuwa na ile hofu ya wazazi kuulizwa ulizwa maswali au kutafutwa tafutwa.
Saa kabla ya kuamua kutulia na kufanya jambo la kumpendeza Mungu nilikuwa nimeacha mazoezi yangu yooooooote especially ya wanawake na mawasiliano yasiyokuwa na maana ili nikiwa na mwenzangu niwe huru kabisa maana najua wanawake wanapenda kukagua kagua simu na kuingia kwenye gallery kuangalia mapicha picha ya zamani na kuanza kuji compare. Nikawa nimeacha kabisa mambo hayo.
Sasa cha ajabu huyu mwenzangu sasa hivi amekuja naishi nae huku tukipanga maandalizi ya ndoa. Ila ananikagua kinoma na asipoona kitu ananiuliza kama nimeblock watu especially wanawake maana sitafutwi tafutwi hovyo.
Anauliza au labda kuna app nime-install inaficha mambo yangu kwenye simu. Jana kaniomba simu yangu akawa anaingia app moja moja kutaka kujua kama nina mazoezi ya wanawake. Hahahahahaha huwa nacheka sana.
Maisha ya kutulia raha sana asikuambie mtu.