FADHILIEJ
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 132
- 18
Wadau suala hili ni very serious na kama kuna mtaalamu wa masuala ya kijamii niko tayari kumuona ofisini anisaidie kuwa free.
Wadau nilifiwa na mke miaka kadhaa iliyopita,akaniachia watoto wawili mmoja wakike na wa kiume.baada ya 2 yrs nikakutana na huyu wife niliyenae sasa hivi akiwa na mtoto mmoja wa kike,na baada ya mda tukapata mtoto wa kiume.
kwa ufahamu wangu FINYU niliamini tukioana na huyu mama tunaweza kucreate new happy,lovely and prosperous family,kwa kuzingatia mazingira yetu,
tulipeana na mwenzangu majukumu yafuatayo.
1.ahakikishe watoto alionikuta nao anakaa nao vizuri kiasi kwamba hawataweza kutofautisha kati yake na mama yao.
2.Mimi nihakikishe mtoto niliyemkuta nae ananifurahia kama baba na kamwe hajuti kukutana na mimi.
Mungu alinisaidia sana kumteka mtoto wa wife kiasi kwamba hata mtu akimuambia mimi si babake mzazi anaanza kulia,KWA UPANDE WA MWENZANGU ALIKUJA KUNISALITI 100% kiasi kwamba hadi vifaa vya ndani anavigawanya,hiki cha watoto wake,hiki cha watoto wangu,KILA KITU KIZURI NINACHONUNUA KWA WATOTO ANACHAGUA VILE BEST ANAWAPA WATOTO WAKE,imefika mahali anampigiza kazi mtoto mkubwa hata zinazozidi umri wake.
wadau nimemchoka na ninataka kumuacha LAKINI NIKIPIGA HESABU NAONA NAWEZA KUIATHIRI FAMILIA YANGU ZAIDI kwani watoto wote wananipenda ila wale wakwangu wanaishi kwa hofu mbele ya mama yao mgeni,
IMEFIKIA MAHALI MKIKWARUZANA NA WIFE HASIRA ZINAMALIZIWA KWA WATOTO,NO PEACE AT ALL.
ADVICE PLEASE!!!!!!!!!
Wadau nilifiwa na mke miaka kadhaa iliyopita,akaniachia watoto wawili mmoja wakike na wa kiume.baada ya 2 yrs nikakutana na huyu wife niliyenae sasa hivi akiwa na mtoto mmoja wa kike,na baada ya mda tukapata mtoto wa kiume.
kwa ufahamu wangu FINYU niliamini tukioana na huyu mama tunaweza kucreate new happy,lovely and prosperous family,kwa kuzingatia mazingira yetu,
tulipeana na mwenzangu majukumu yafuatayo.
1.ahakikishe watoto alionikuta nao anakaa nao vizuri kiasi kwamba hawataweza kutofautisha kati yake na mama yao.
2.Mimi nihakikishe mtoto niliyemkuta nae ananifurahia kama baba na kamwe hajuti kukutana na mimi.
Mungu alinisaidia sana kumteka mtoto wa wife kiasi kwamba hata mtu akimuambia mimi si babake mzazi anaanza kulia,KWA UPANDE WA MWENZANGU ALIKUJA KUNISALITI 100% kiasi kwamba hadi vifaa vya ndani anavigawanya,hiki cha watoto wake,hiki cha watoto wangu,KILA KITU KIZURI NINACHONUNUA KWA WATOTO ANACHAGUA VILE BEST ANAWAPA WATOTO WAKE,imefika mahali anampigiza kazi mtoto mkubwa hata zinazozidi umri wake.
wadau nimemchoka na ninataka kumuacha LAKINI NIKIPIGA HESABU NAONA NAWEZA KUIATHIRI FAMILIA YANGU ZAIDI kwani watoto wote wananipenda ila wale wakwangu wanaishi kwa hofu mbele ya mama yao mgeni,
IMEFIKIA MAHALI MKIKWARUZANA NA WIFE HASIRA ZINAMALIZIWA KWA WATOTO,NO PEACE AT ALL.
ADVICE PLEASE!!!!!!!!!