fundiumemedar
Member
- Aug 9, 2015
- 22
- 9
Habari, wana JamiiForums,
Naomba wataalamu wanisaidie, mawazo, natakana kusuplly wi-fi, katika eneo lenyemsongamano mkubwa wa watu, hasa wanafunzi.
Lengo kuu ni biashara, mfumo nataka uwe hivi;
Mtu analipia kiasi kwa njia ya Mpesa, Tigo pesa, ama paypoint, maxmalipo,
akishalipia atapewa user & password, unique, na hiyo password ataitumia kulog in kwenye wifi, yangu, pia itamuunganisha kwa muuda kulingana na kiasi ya pesa alicholipia, eg. 200 for 1 hr, baada ya muda kuisha toka alog in, itakata automatikally na itaanza kuhesabu pale tu atakapokuwa amelog in,
time with money not MB with money.
Naomba wataalamu wanisaidie, mawazo, natakana kusuplly wi-fi, katika eneo lenyemsongamano mkubwa wa watu, hasa wanafunzi.
Lengo kuu ni biashara, mfumo nataka uwe hivi;
Mtu analipia kiasi kwa njia ya Mpesa, Tigo pesa, ama paypoint, maxmalipo,
akishalipia atapewa user & password, unique, na hiyo password ataitumia kulog in kwenye wifi, yangu, pia itamuunganisha kwa muuda kulingana na kiasi ya pesa alicholipia, eg. 200 for 1 hr, baada ya muda kuisha toka alog in, itakata automatikally na itaanza kuhesabu pale tu atakapokuwa amelog in,
time with money not MB with money.