Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Thi is the reason:
The cost of living with people or in a society that ignores politics or that takes if for granted, and yet the same people go to polling stations during election process, is not only very huge, but also is never affordable to everyone including the richest individuals in that society.
Mifano michache ilio hai leo hii:
Hakuna tofauti ya MO na mkulima wa korosho katika kulalamika.
Hakuna tofauti ya mfanyabiashara mkubwa na mtumishi wa umma katika kunung'unika.
Hakuna tofauti ya mwanasiasa wa CCM na yule wa upinzani katika kulalamika (Bashe ni mfano hai leo hii), n.k
Tumefikaje hapa?
Ni kwasababu kwa miaka mingi watanzania tumekuwa tukichulia siasa kama jambo la mzaha mzaha na kuchagua watu kwa misingi ya eti mimi ni tajiri,hiki ni chama changu, chama hiki kimenilea, baba yangu alikuwa mwana CCM, nimepewa kitenge, n.k.
Kuna wenzetu wa chama fulani bado wanaendelea kuchukulia mambo ya siasa na wanasiasa kwa mazoe wakidhani wao ndio wako salama, ila wajue tu kuna gharama ya kulipa inayowasubiri huko mbeleni ambayo ni kubwa kuliko uwezo walionao.
The cost of living with people or in a society that ignores politics or that takes if for granted, and yet the same people go to polling stations during election process, is not only very huge, but also is never affordable to everyone including the richest individuals in that society.
Mifano michache ilio hai leo hii:
Hakuna tofauti ya MO na mkulima wa korosho katika kulalamika.
Hakuna tofauti ya mfanyabiashara mkubwa na mtumishi wa umma katika kunung'unika.
Hakuna tofauti ya mwanasiasa wa CCM na yule wa upinzani katika kulalamika (Bashe ni mfano hai leo hii), n.k
Tumefikaje hapa?
Ni kwasababu kwa miaka mingi watanzania tumekuwa tukichulia siasa kama jambo la mzaha mzaha na kuchagua watu kwa misingi ya eti mimi ni tajiri,hiki ni chama changu, chama hiki kimenilea, baba yangu alikuwa mwana CCM, nimepewa kitenge, n.k.
Kuna wenzetu wa chama fulani bado wanaendelea kuchukulia mambo ya siasa na wanasiasa kwa mazoe wakidhani wao ndio wako salama, ila wajue tu kuna gharama ya kulipa inayowasubiri huko mbeleni ambayo ni kubwa kuliko uwezo walionao.