Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,239
Naona kuna haja ya kulijadili ili jamani bse ni aibu.
Kwa kuanzi point zangu
I. NEC haikujipanga vilivyo kutoa elimu ya uraia the next question comes are they unfit for the job or mis used the fund given to them
II. Rai walianticipate ushindi wa CCM by anymeans ivyo hawakuona haja ya kwenda kuungua na jua kama baadhi yao walivyoojiwa
III. Baadhi ya watu kutoona majina yao kwenye vitabu uku wakiwa na vitambulisho
IV. Ufungaji wa vyuo vya ualimu kule makete na arusha
V. Kuchelewa kufunguliwa kwa vyuo vikuu
VI. .......................
Kwa kuanzi point zangu
I. NEC haikujipanga vilivyo kutoa elimu ya uraia the next question comes are they unfit for the job or mis used the fund given to them
II. Rai walianticipate ushindi wa CCM by anymeans ivyo hawakuona haja ya kwenda kuungua na jua kama baadhi yao walivyoojiwa
III. Baadhi ya watu kutoona majina yao kwenye vitabu uku wakiwa na vitambulisho
IV. Ufungaji wa vyuo vya ualimu kule makete na arusha
V. Kuchelewa kufunguliwa kwa vyuo vikuu
VI. .......................