Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Inshort hizo domain ni gharama sana kulinganisha na nyingine, wakati .com inauzwa 22,500 basi .co.tz inauzwa 30,000. Ni dhahiri mtu atanunua .com tu
hapana mkuu, .tz domain ni 25,000/- tu hao wanauza zaidi ya hapo wanakosea na wanapaswa kuripotiwa.