i have come to realise that, sex enterpreneurs among versity students is now a normal thing to many youths.
nina wasi2 wasomi wetu tutakua kizazi cha namna gani, na tukabiliane vipi na changamoto hizi?
swala kubwa ni vitendo vya kukithiri kwa matendo machafu kwa wanafunzi wa vyuoni, wavulana wanalundika wasichana kwenye msururu,wakati mabinti wakifanya biashara tena wakiharalisha wazi wazi kwamba wanamake monies.
well nikitafakari hayo nitafanya utafiti Youths,Crimes and cities huku kipengere hiki kikipewa uzito.
mwenye mchango anakaribishwa
nina wasi2 wasomi wetu tutakua kizazi cha namna gani, na tukabiliane vipi na changamoto hizi?
swala kubwa ni vitendo vya kukithiri kwa matendo machafu kwa wanafunzi wa vyuoni, wavulana wanalundika wasichana kwenye msururu,wakati mabinti wakifanya biashara tena wakiharalisha wazi wazi kwamba wanamake monies.
well nikitafakari hayo nitafanya utafiti Youths,Crimes and cities huku kipengere hiki kikipewa uzito.
mwenye mchango anakaribishwa