ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,941
- 3,860
Nimesikia haya Mambo kuwa Rayvanny anaongoza mauzo katika digital platform, ni kweli lakini mi sioni kama ni hoja.
Sawa anauza sana hata Zuchu anauza sana lakini kuna hasara yake kwa upande mmoja au mwingine, asilimia kubwa ya mauzo ya Rayvanny na Zuchu yanakwenda kwa Diamond , so hata kama Vanny boy anauza sana hafaidiki moja kwa moja na mapato yote, hayo mapato ndio Diamond anatumia kulipa mishahara ya wafanyakazi coz mfano Wasafi fm haiingizi pesa za kutosha.
Pia Vanny boy na Zuchu wanatembelea kick ya master Platnumz, wakitaka wajipime waseme tunatoka kwa muajiri wetu WCB I mean Platnumz.
Harmonize na Mavoko kilichowatoa ni mgao wanaopata kwenye mauzo ya nyimbo zao ulikuwa mdogo mwingi ukienda kwenye kampuni.
Inawezekana Harmonize anauza kidogo kuliko Rayvanny lakini akawa ana kipato kikubwa kuliko Rayvanny kwa sababu Rayvanny ni muajiriwa wa Diamond na anapangiwa anachostahili kupata.
Sawa anauza sana hata Zuchu anauza sana lakini kuna hasara yake kwa upande mmoja au mwingine, asilimia kubwa ya mauzo ya Rayvanny na Zuchu yanakwenda kwa Diamond , so hata kama Vanny boy anauza sana hafaidiki moja kwa moja na mapato yote, hayo mapato ndio Diamond anatumia kulipa mishahara ya wafanyakazi coz mfano Wasafi fm haiingizi pesa za kutosha.
Pia Vanny boy na Zuchu wanatembelea kick ya master Platnumz, wakitaka wajipime waseme tunatoka kwa muajiri wetu WCB I mean Platnumz.
Harmonize na Mavoko kilichowatoa ni mgao wanaopata kwenye mauzo ya nyimbo zao ulikuwa mdogo mwingi ukienda kwenye kampuni.
Inawezekana Harmonize anauza kidogo kuliko Rayvanny lakini akawa ana kipato kikubwa kuliko Rayvanny kwa sababu Rayvanny ni muajiriwa wa Diamond na anapangiwa anachostahili kupata.