Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 1,711
- 2,494
Kweli mkuu, hiyo 35/65 ni member mmoja humu anayejifanya kujua sana mambo ya pale usafini. Hatuwezi kuamini rumors, sasa mtu unajiuliza hivi inakuwaje shabiki uone mtu ananyonywa ikiwa muhusika hana tatizo na ameridhika. Na hatua anazopiga zinaonekana, leo hii mtu Kama mbosso rayvany wanasukuma ndiga za bei juu, wamejengea wazazi wao na mambo kadhaa wa kadhaa tusiyoyajua.Mtu anakwambia tuangalie anapokaaa ndo tutajua ana hela hivi kweli
Wakulima wangap vijijini wana nyumba za kawaida ila account za kutisha
Pesa haionyeshwi kwa makazi
Chukulia mfano diamond alivopanga sahivi ina maaana kwamba kwa wote walio na nyumba wamemzidi hela kisa kapanga???
Kwangu mimi wcb imewasaidia watu kutambulika haraka zaidi na sidhani ni 35/65 kama watu wanavyosema humu...
Watu ambao wangechukua muda kushine pale wamechukua muda mfupi tu kitu ambacho ni kizuri na hata akiondoka pale wcb anaondoka na loyal fans wake.....kama ilivyo kwa harmonize alivoondoka