Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,677
- 2,350
Alikuambia Roho Mtakatifu wa kanisa lenu ?Nimeambiwa wewe sio Muislamu, unatupotezea tu muda hapa
Sasa tuambie biblia gani unatumia Na kanisa lipi unalokwenda?
Alikuambia Roho Mtakatifu wa kanisa lenu ?Nimeambiwa wewe sio Muislamu, unatupotezea tu muda hapa
Leo hujamwagiwa marinda, unayatafuta JF?Muhammad alikuwa straight au shoga? Au hujui?
Kwani hakuwa nayo?!Mussa wa torati, mbona hujibu kama muhammad alikuwa na marinda?Haujiamini nini? unanipa wasiwasi ujue
Kwahiyo Shia sio Waislamu.Kwani Maqadiani ni Waislamu kaka ? Mnatuchanganya ujue ?
Ukadiani ni zao la Waingereza fatilia historia ya Mirza Gulam Ahmad na itikadi zake,ni ukafiri mtupu.
Shia na Uislamu wapi na wapi ? Ismailia ni pote katiak mapote ya Mashia. Muwe mnafatilia kikamilifu haya mambo.
Hapo waondoe Mashia,Makadiani wabakize Masuni.
Watakwmabia nini wakati wewe mjinga tena mjuaji ? Wajinga huwa wanapuuzwa.
Unao ushahidi juu ya kauli yako hii ?
Kwani Uislamu unaruhusu watu kujitoa Muhanga au watu kuuwa wenzao kwa dhulma ? Kuna Uislamu na kuna Waislamu,kadhalika Makafiri magaidi wapo.
Huwezi Muislamu bila kushika nguzo za Uislamu.
Mafunzo ya Uislamu juu ya kuishi na wasi kuwa Waislamu yako wazi sana,na tumehimizwa kuwatendea haki na tusiwadhulumu na kama wanaupiga vita Uislamu pia tumeusiwa kuwapiga vile vile. Ila vigezo na masharti lazima vizingatiwe
Shia una ushahidi wanashika nguzo tano za Uislamu ?
Onyesha shida iliyopo katika nguzo tano za Uislamu ?
Ukiweza kunithibitishia ya kuwa Ahmadiya ni Waislamu na mimi nakuwa Ahmadiya.
Kila kitu kipo wazi kwanini hamsomi vijana mkaujua ukweli mnakuja kupayuka payuka tu humu...?
Unamwuliza Gaidi kuhusu lengo lake la uhalifu dhidi ya watu unategemea jibu gani tena ndugu.Kwahyo bora gaidi kuliko shoga?
Sio mimi niliye kuambia wewe sio muislamu.Alikuambia Roho Mtakatifu wa kanisa lenu ?
Sasa tuambie biblia gani unatumia Na kanisa lipi unalokwenda?
Sasa kwasababu umeshindwa kujibu swali simple kama Hilo kumtetea mtume wako...ngoja nizame kwenye hadith nifuatilie kama alikuwa Na Marinda huyo jamaaLeo hujamwagiwa marinda, unayatafuta JF?
Sijui nlkuwa nauliza nijue...ila kwasababu jamaa kashindwa kunijibu ngoja nizame mwenyewe kufatiliaKwani hakuwa nayo?!
Sawa mkuu ukipata jibu nifahamisheSijui nlkuwa nauliza nijue...ila kwasababu jamaa kashindwa kunijibu ngoja nizame mwenyewe kufatilia
Poa poa usijalSawa mkuu ukipata jibu nifahamishe
Kwani wewe unatumia biblia ipi Na kanisa lako ni lipi?Sio mimi niliye kuambia wewe sio muislamu.
Ni mwislamu safi mulwanaka, ndiye aliyekuambia.
Soma post namba 339 hapo juu.
Kwahiyo huna mamlaka ya kachangia chochote kuhusu dini ya Kiislamu.
Ndio maana nakuwambia kuwa unatupotezea muda bure.
Hivi bado unatafuta mtu akumwagie marinda humu jf?Sasa kwasababu umeshindwa kujibu swali simple kama Hilo kumtetea mtume wako...ngoja nizame kwenye hadith nifuatilie kama alikuwa Na Marinda huyo jamaa
Masonic BibleKwani wewe unatumia biblia ipi Na kanisa lako ni lipi?
Kwani unataka kumwaga marinda yako?Hivi bado unatafuta mtu akumwagie marinda humu jf?
Hao wote ni waislamu wanaamini na wana Aqeedah ya uislamu, wote ni Ahlus-Sunnah wal jamaal manaake wanafuata sunna za mutume na Quran tu, ila tafaseeri zao ndo sinatafautiana kulingana na ma imamu waiKwahiyo Shia sio Waislamu.
Ahamadiya (sio quadian, huo ni mji wa india) nao sio waislamu,
Ismailiya sio waislamu pia.
Answalisuna nao sio waislamu,
Wahabi (sarafi) sio waislamu.
Shafi sio waislamu.
Sufi sio waislamu
Hanafi sio waislamua.
Ibadi (washika swala maarufu) sio waislamu.
Al-Qaeda sio waislamu
Nadhani wewe bado maamuma wa Dini Shehe.
Anza moja Madrasa
Hao wote ni waislamu wanaamini na wana Aqeedah ya uislamu, wote ni Ahlus-Sunnah wal jamaal manaake wanafuata sunna za mutume na Quran tu, ila tafaseeri zao ndo sinatafautiana kulingana na ma imamu wai
Ila Qadiani sio waislamu wala sio wa fuasi wa Ahlus-Sunnah, hawana Aqeedah ya Uislamu na Imani yao ni tofauti na waislamu wote, wanafuata Nabbi batili Mirza Ghulam Qadiani, hawamini hawaamini kwamba Muhammad saw ndo mtume wa mwisho na Uislamu umesha kamilika, Maqadiani/Ahmadiyya wanaamini kwamba Essa (as) alikufa nakuzikwa Kashimir India jambo ambalo ni kinyume na Quran, kwa ufupi Qadiani sio waislamu ni makafiir wanao jificha kwenye uislamu kupotosha waislamu wasio kua na elimu.
Kwani unataka kumwaga marinda yako?
Hao tunawaita makafiiri sio kwasabb hatukubaliane nao isipo kua waposha watu makusudi, viongizi wao wahindi wanajua kwa 99% kwamba Mirza ni muongo Nabbi Batili ila wanatafuta tu pesa na utajili tu kutoka kwa wafuasi .....Qadiani kazi yao ni ku-edit vitabu vya Uisilamu na kuweka majina yao lengo lao ni kupoteza wa Africa, baada ya ku fukunzwa makwao Pakistan na kugunduliwa kwamba wana ajenda za siri za kugawa uislamu na kuleta Nabbi wao vatili, hao watu ni hatari bora wa kuristu kuliko hao madajjal, kwasbb wakuristu Iman yao iko open sana mtu anaiingia kwa hiari, hao wanaficha Imani yao paka uingie ndo ujue kwamba sio waislamu.Maswala ya kuwaita watu wengine makafiri ndio yanafanya tuwaone hamfai, mnaleta utengano na makundi ya kigaidi kwenye jamii
wewe kama unataka kumwaga marinda yako sema...mbona wa kuyatatua wapo wengi.Jibu swali
Hivi bado unatafuta mtu akumwagie marinda humu jf?
Siyo Waislamu.Kwahiyo Shia sio Waislamu.
Siyo Waislamu,Qadian kuwa mji haimaanishi hakuna Udakiani.Ahamadiya (sio quadian, huo ni mji wa india) nao sio waislamu,
Ismailia ni katika kundi la Mashia.Ismailiya sio waislamu pia.
Hawa Waislamu.Answalisuna nao sio waislamu,
Wahabi (sarafi) sio waislamu.
Shafi sio waislamu.
Sufi sio waislamu
Hanafi sio waislamua.
Ibadi (washika swala maarufu) sio waislamu.
Al-Qaeda sio waislam
Duuh.Nadhani wewe bado maamuma wa Dini Shehe.