safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Kwa maana kama hajajitangaza kuwa khalifa na akawa analawiti haina shida ,ila akijitangaza khalifa hapo ndio kulawiti kunakuwa tatizo ?Kwani hao unao wataja walisha wahi kujitangaza kua ni ma khalifa wa Uislamu, kama huo Masroor wa Ma Qadian anae dhalilisha Dini ya Uislamu wakati sio muislamu
Au umekuaudia vipi ?