Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

Mimi ninakubaliana kabisa na hiyo hadithi na ipo wazi kabisa na haikomeshi utume kabisa bali inaendekeza utume na wala haihitajiki akili kubwa kuielewa hiyo hadithi japo maneno ya mwisho yanayosomeka; لا نبي بعدي (laa nabiya ba'adii) yanahitaji maelezo kidogo, na hapa ndipo kwa matatizo kwa Waislamu wengi, kwani hawasomi hadithi na Qur'an kwa tafakur, Qur'an Unasema Utume inaendelea utawaona baadhi ya Waislamu wakisema Mtume Muhammad (saw) ni wa mwisho kuja--- sasa hawaoni kuwa hapa wametengeneza ikhtilafu ndani ya Qur'an bila kujua.

Neno ba'adi (بعدي) linazo maana 3, 1-- in my absence, 2--after me, 3-- Contrary to me., maana kubwa iliyozoeleka ni #2 , sasa tuone maana nyingine ya neno بعد (ba'ad) ilivyitumika ndani ya Qur'an :-

تلك ايات الله نتلوها عليك فبأي حديث بهد الله و اياته يومنون---- yaani; Hizi ni aya za Allah tunakusomea kwa haki; basi ni hadithi gani watakayo iamini KINYUME na Allah na aya zake? (45:6) Qur'an .

Hapo sasa utaona neno ba'ad likiwa na maana ya "kinyume", hivyo sasa maneno لا نبي بعدي maana yake ni hakuna nabii kinyume nami au hakuna nabii atakaye kwenda kinyume na mimi, ukitafsiri hakuna nabii baada yangu utaleta ikhtilafi ndani ya Qur'an kwani kuna aya nfano (7:35) inasema mitume watakuja kuwasomamea/kuwafundisha watu aya za Qur'an.

Sasa nije kwa hadithi yenyewe, kwenye maneno mengine انا جاتم النبيين yaani; na mimi ni khatam an nabiyyin, neno khatam maana yake ni Muhuri au mbora, hapo sasa tutatafsiri; "na mimi ni mbora wa manabii", hivyo utaona hadithi nzima haijafunga utume/unabii kabisa bali ni tafsiri mbovu ndizo zinataka kutuaminisha kwamba utume umefungwa kitu ambacho ni kinyume na Mafundisho ya Qur'an.

Sasa nije kwenye hadithi yote, Mtukufu mtume (saw) alikuwa anajua fika katika umma wake watatokea Waongo 30 na kila mmoja atadai kwamba yeye ni mtume lakini hakusema kwamba KILA mtu atakaye dai utume ni Muongo!!---- tena kaweka hadi idadi ya Waongo 30 kwa maana kwamba Nabii mkweli anaweza kuwa wa 31, kifupi ni kwamba hadithi inataja waongo 30 na haijasema kwamba Kila atakayedai unabii ni Muongo!!, na hii ni tahadhari ili akitokea nabii mkweli tuweze kumtofautisha na muongo, in that regard The holy prophet was very brilliant messenger of Allah.

Hebu chukua mfano huu; Baba anaondoka nyumbani na anamuaga mwanaye huku akimtahadharisha kwamba; "Mwanangu usiache milango wazi nimesikia watakuja wezi kuiba hapa" ----- je kila mtu atakaye kwenda hapo nyumbani atakuwa ni mwizi???!!---- common sense inasema sio kweli kwamba kwamba kila atajayefika pale nyumbani atakuwa miongoni mwa wale wevi.

Hata hivyo Wataalamu wa hadithi waliifanyia kazi hiyo hadithi na hebu sikia walichosema:-

هذ الحديث ظهر صدقه فانه لوعد من تنباء من زمنه صلى الله عليه و سلم الى الان لبلخ هذ العدر و يعرف ذالك من يطالع التارايخ
(اكمل الاكمل جلد مصرى )

Yaani; Hadithi hii imedhihiri ukweli wake, maana lau wakihesabiwa waliodai utume toka wakati wa Swalallahu aleyhi wa salam (mtume mtukufu saw) mpaka sasa itatimia idadi hii, na jambo hili analijua anayesoma historia. (Ikmal alikmal kutoka Misri).

Aliyeandika hicho kitabu alifariki mwaka 828 Hijriyya.



Kwa mujibu wa Qur'an hata mtukufu mtume (saw) na mitume wengine walishambuliwa kwa matusi na kejeli kutoka kwa wapinzani, nawe umejipambanua kushika tabia ya wapinzani wa mababii kwa kutoa kejeli dhidi ya Hadhrat Ahmad (as) na hii ni ishara ya ukweli wake watu wema wanaelewa lakini wapinzani Allah huwazidushia kiburi, chuki na hasira nyoyoni mwao.

Omba toba na msaada kwa Allah ili uutambue ukweli kiburi na majivuno na kauli chafu dhidi ya Hadhrat Ahmad (as) itakaribisha hasira ya Allah juu yako, ni Allah pekee anayeweza kumuongoza mtu mimi nafikisha ujumbe tu basi omba msaada kwake kwa unyenyekevu na subira na swala bila shaka Allah atakuongoza.
Naona majibu malefu kama kawayda ya watu wa wauongo wanavo fanya eti unaeleza neno "la nabbiyu baada"hahaha ..... kwa mtu yoyote mwenye basic knowledge ya kiarabu hawezi kutafuta maana nyingine ya hilo neno "hamna mtume baada yangu".........ila kwasabb nyie majahiliya Qadiani au Ahmadiyya kazi yenu ni kupotoshwa ukweli endelea tu.......waIslamu tulisha amka hampati wafuasi , endeleani kutoa soda za bure na vitafunwa kununua watu.
 
"la nabbiyu baada"


Nikuulize; hivi wewe umepitia hata madrasa japo kidogo kujifunza, ا ب ت ث----, yawezekana naongea na mtu hata hajui kusoma aya za Qur'an japo kidogo tu ila kaingia ulingoni kutetea asichojua.

"La nabbiyu baada" ndiyo nini???

Go and learn Quranic arabic in the first place before coming to the debate.

Na hii ndiyo shida ya waislamu wengi sana, hawajifunzi dini kwa kina, wamekuwa kama bendera fuata upepo, wakiambiwa na masheikh wao; Waahmadiyya ni makafiri basi bila ya kutumia akili na ufahamu wao kujifunza na kudadisi kutoka kwa Waahmadiyya wenyewe na kusoma Qur'an na Hadithi kujua ukweli wao huwafuata Masheikh wao ambao mtume (saw) aliwasema ni شر من تحت اديم السماء--- waovu chini ya mbingu.
 
I stand with USA's decision on this.

Why are Afghanistan Muslims running away from their own countries, the Talliban want full blow Islam sharia law, why all this noisy all about, why are they Afghans afraid of Islam way of life if truly they love Islam

Generally Muslims are not happy in their own Islamic countries but want to convert the countries they found grace in to Islamic countries they ran from.

They’re not happy in Gaza
They're not happy in Egypt
They're not happy in Libya
They're not happy in Morocco
They're not happy in Iran
They're not happy in Iraq
They're not happy in Yemen
They're not happy in Afghanistan
They're not happy in Pakistan
They're not happy in Syria
They're not happy in Lebanon
So, where are they happy?
They're happy in Australia
They're happy in England
They're happy in France
They're happy in Italy
They're happy in Germany
They're happy in Sweden
They're happy in the USA & Canada
They're happy in Norway & India
They're happy in almost every country that is not Islamic!
And who do they blame?
Not Islam...
Not their leadership...
Not themselves...
THEY BLAME THE COUNTRIES THEY ARE HAPPY IN!!
And they want to change the countries they're happy in, to be like the countries they came from where they were unhappy
Thats very true...tusiende mbali huko uajemi...mfano mzuri hapo visiwani..jamaa wanafurahia sana kuishi bara..yaani wanaona kuna uhuru mkubwa wa kuanzia mavazi mpaka maisha binafsi...na hata elites wao wote wana properties huku mainland...na hapo ndo majirani hawatumii sharia...je wangeitumia...jamaa wangekimbia nchi yao
 
They are not happy in their countries because of the Americans

name a country whose citizens are unhappy that has not been inhabited/kaliwa by Americans

nchi zote zisizo na furaha zenye machafuko ya kivita huko uarabuni basi zimekaliwa na Marekani kimabavu kwa mgongo wa demokrasia
Saudia,Yemen,Misri,Lebanon,Sasa hata huko Afghanistan,walikuwa unahappy wakati USA ipo,sasa imeishaondoka,na Cha ajabu wakati USA inaondoka hao raia waliokuwa "wamefanywa unhppy na USA"walitaka waondoke na "watesi wao USA!!very clazzy!!!aliyekukosesha furaha akiwa kwenu,unataka uende nae Kwake!!
Mi nirifikili aliyekukosesha furaha akiondoka,unapumua,
Tatizo la nchi za Kiislam/arab ni political Islam,kufanya mambo ya kiutawala na kisiasa kuwa mambo ya kidini.
Yaani unalazimishwa uwatii viongozi wa kisiasa kama wajibu wa kidini na ni lazima mbele ya mtume na Allah(Muslim God).
 
I stand with USA's decision on this.

Why are Afghanistan Muslims running away from their own countries, the Talliban want full blow Islam sharia law, why all this noisy all about, why are they Afghans afraid of Islam way of life if truly they love Islam

Generally Muslims are not happy in their own Islamic countries but want to convert the countries they found grace in to Islamic countries they ran from.

They’re not happy in Gaza
They're not happy in Egypt
They're not happy in Libya
They're not happy in Morocco
They're not happy in Iran
They're not happy in Iraq
They're not happy in Yemen
They're not happy in Afghanistan
They're not happy in Pakistan
They're not happy in Syria
They're not happy in Lebanon
So, where are they happy?
They're happy in Australia
They're happy in England
They're happy in France
They're happy in Italy
They're happy in Germany
They're happy in Sweden
They're happy in the USA & Canada
They're happy in Norway & India
They're happy in almost every country that is not Islamic!
And who do they blame?
Not Islam...
Not their leadership...
Not themselves...
THEY BLAME THE COUNTRIES THEY ARE HAPPY IN!!
And they want to change the countries they're happy in, to be like the countries they came from where they were unhappy
Kuishi nchi za Kiarab ni ishu mkuu, hakuna raha hata kidogo. We umeona wapi mtu unakadiriwa namna ya kuishi maisha yako, kila mtu na mzazi anataka mtoto wake aishi maisha ya karne ya 6 na 7 enzi za Mohammed, kama si ujinga ni kitu gani? Hii ni karne ya 21 na watu wamesoma eti wanatak waishi kama wapo gizani.
 
Unajua kwanini wa nafanya hivo? Sio unafiki waislamu wengi wanalipiza kisasi kwa kuenda kwenye nchi za hao wa chochozi kueneza uislamu wanao pinga
Yaani unahatarisha maisha yako kuvuka bahari ya mediterania!!Ili uende ukalipe kisasi ulaya!!!!??Yaani mjeda akutie mitama uswahilini,harafu wewe usubili usiku,uende Kambini Lugalo kulipa kisasi!!
Wengi wanakimbia mateso,
Kuna mashekh Wana imani kali wanaoitetea Palestina,na kuishambulia Israel na US,Cha ajabu hawapo tayari kwenda kuishi Palestina au Misri!!wanapenda wajifiche Canada,USA,Paris,wakila mvinyo!
Na wanajua wakitia maguu nchi kama Misri,au Saudia,waislam wenzao walio Madarakani watawakata vichwa fasta,sasa kwa kuogopa kufa wanaenda kujificha ulaya,
 
Yaani unahatarisha maisha yako kuvuka bahari ya mediterania!!Ili uende ukalipe kisasi ulaya!!!!??Yaani mjeda akutie mitama uswahilini,harafu wewe usubili usiku,uende Kambini Lugalo kulipa kisasi!!
Wengi wanakimbia mateso,
Kuna mashekh Wana imani kali wanaoitetea Palestina,na kuishambulia Israel na US,Cha ajabu hawapo tayari kwenda kuishi Palestina au Misri!!wanapenda wajifiche Canada,USA,Paris,wakila mvinyo!
Na wanajua wakitia maguu nchi kama Misri,au Saudia,waislam wenzao walio Madarakani watawakata vichwa fasta,sasa kwa kuogopa kufa wanaenda kujificha ulaya,
Ni kweli ila hiyo nifikra yako, lakini jambo linalo nifurahisha kwao hawatakuja kukana Dini yao na wanafanya bidii kueneza kwa hari yote........ na uislamu unakua kwa kasi kwenye nchi za magharibu France ina waislamu wazawa na wamuaji 11m sawa na 12% ya wafarasa wote uingereza ina 6m ujerumani 4.5m hi ni idadi kubwa tangu tukio la 11/Sept waislamu USA wameongezeka 4× kwanini?......
 
Mokaze kama wewe ni muislamu kweli kweli lazima ukubaliane na hadeeth za Mtume (saw).

Prophet Muhammad (saw) prophesied:

انه سيكون في أمتي كذابون ثلاثون كلهم يزعم أنه نبي و انا خاتم النبيين لا نبي بعدي.

"There will arise thirty liars in my Ummah. Everyone of them will claim to be a prophet. Though I am the last of the Prophets; there is no prophet to come after me." (Sahih Muslim).

(Further details if you need more hadeeth about finality of prophethood can come).

Kwahiyo Mirza ghulam Qadiani wa Ahmadiyya alie dai kwamba pia ni nabbi baada ya Mtume (saw) ni muongo/batili/mfutinashaji tu, Mtume alisha tabili dini kama hizo za Ahmadiyya kutokea.
Kwa nini usiseme Muhammad ndiye alidanganya kuwa nabii wa mwisho?
 
Hao ni wahamiaji wanaokimbia shida kwenye nchi zao! Rejea vizuri kwenye takwimu za nchi husika uone asili zao.

N:B Hata wewe mwenyewe unawaza kuhamia huko, sasa ukifika huko utataka uhesabiwe kama nani
Ni kweli ila hiyo nifikra yako, lakini jambo linalo nifurahisha kwao hawatakuja kukana Dini yao na wanafanya bidii kueneza kwa hari yote........ na uislamu unakua kwa kasi kwenye nchi za magharibu France ina waislamu wazawa na wamuaji 11m sawa na 12% ya wafarasa wote uingereza ina 6m ujerumani 4.5m hi ni idadi kubwa tangu tukio la 11/Sept waislamu USA wameongezeka 4× kwanini?......
 
They are not happy in their countries because of the Americans

name a country whose citizens are unhappy that has not been inhabited/kaliwa by Americans

nchi zote zisizo na furaha zenye machafuko ya kivita huko uarabuni basi zimekaliwa na Marekani kimabavu kwa mgongo wa demokrasia
Kama wanawanyanyasa why going to Amerika and the like? Mngebaki kwenu mkaishi kwa sharia.
 
They are not happy in their countries because of the Americans

name a country whose citizens are unhappy that has not been inhabited/kaliwa by Americans

nchi zote zisizo na furaha zenye machafuko ya kivita huko uarabuni basi zimekaliwa na Marekani kimabavu kwa mgongo wa demokrasia
Imagine mtu anaongea uongo kama hu tena hadharani; Iraq ya Saadam Hussein ilikua inakaliwa na USA? Mbona Wairaq bado walikua hawana furaha? What about Iran, inakaliwa na USA? Mbona na wao hawana furaha? Sorry, Afghanistan inayozungumziwa hapa ni IPI? YA Taleban enzi za Osama or Afghanistan ya iliokua ikikaliwa na USA au Afghanistan iliochukuliwa tena na Taleban baada ya Osama kufa? Nadhani uliona idadi ya watu waliodandia ndege kutoroka nchini mwao baada ya Taleban kuichukua nchi yao baada ya USA kuiachilia, wamekuja hadi Uganda hapo, sasa hivi ndio wanachukua passport kwa wingi ili watoroke zaidi nchini mwao. Achaneni na kuilamu USA wakati walioko kule (waislamu ) wako happy zaidi kuliko kwenye nchi zao; tutafute mzizi wa fitina, kudanganya hakusaidii
 
Hivi ni
Lini waarabu wakawa na akili? Ni watu waliolaniiwa wale
Wewe unaona waafrica tuko sawa, pengine sisi ndio tumelaaniwa zaidi. Tuko selfish sana ndio maana tunaona uthaifu wa wngine zaidi na kuamini kila kinachosemwa na BBC, CNN hivi tutaamka lini!
Yaani tunakila kitu bado tu maskini na tunapigana hovyo kisa siasa za ubinafsi angalia mataifa ya Africa tu Third World/Dumping place kwa bidha feki na tumekua test ya madawa na chanjo zao yaani tukianza kujizungumzia matatizo yetu hatumalizi leo au kesho.
KWELI AFRICA BADO USINGIZI, Trump aliwahi kusema tunahitaji kutawaliwa tena.
 
Dispersion of people in West Africa is due to political instability.
It has nothing to do with religious matters especially Islamic religion.
Tunisia is not ruled by Islamic Sharia but people daily flee to western nations due to mass unemployment and poor social services due to poor governance.
Tunisia does not have Sharia. True. But the poorest segment that is running away to Europe are not the secular class in Tunis or Sfax, but the ones from the interior of Tunisia like Tatooine and Kasserine(where most ISIS militants have come from ) where Sharia is culturally enforced in defiance to the secular laws of Tunisia . It is the same to Turkey. All the Turkish migrants in Germany, the Netherlands and Denmark are from Eastern Turkey and Central Anatolia ,where conservativism and people defying secular laws to do things justified by Sharia like Child marriage prevail .There are very few Turks in Europe who come from secular regions and cities like Northern Turkey, Antalya in the South, Izmir or Istanbul .Because in those secular regions, life is good. Jobs are there for the secular class, (whose households have both partners working and there are no cultural or religious restrictions on the women wanting to work in any job she wants) and women are free.
On the other hand, those in Eastern Turkey dream of Europe, then export the same cultural and religious baggage there.
 
USHAMBA MTUPU, eti hata wanawake wa huko ni juzi tu wameruhusiwa kuanza kuendesha magari.

A very stupid, local & poor old life style
Mada nzuri.
Hakuna Mwislamu aliye staarabika anayependa utawala wa Sharia wa kuchinjana na kukatana mikono.

Wahadhiri wa Kiislamu walioko vyuoni, wanaeleza hivyo na wakipata likizo zao za Sabato wanaenda kupumzika nchi za Ulaya.

Nchi za Ulaya zimestarabika kitambo zinaishi maisha ya Karne ya sasa.

Kama alivyoeleza mchangiaji mmoja maisha ya Sharia ni misha ya Karne ya 6 enzi za Mtume wa Kiislamu Muhammadi.

Maisha ya Sharia hayatokani na maamuzi ya jamii inayobadilika kuelekea katika ustaarabu.
Maisha ya Sharia ni kama maisha ya Jera.
Ni maisha ya kulazimisha kufata Taratibu na Kanuni zilezile za karne ya 6.
Jamii yoyote inapo endelea kuishi inajitungia kanuni ndogo ndogo kutokana na wakati husika. Hili halipo katika utawala wa Sharia, kwa mfano, Mwanamke hana maamuzi binafsi katika utawala wa Sharia milele.
Wasio Waislamu hawana haki katika utawala wa Sharia milele.

Ati Mwanamume Muislamu ndiye mtu pekee wa kuwapangia watu wengine namna ya kuishi.
Inasema mahali,
"Asiyetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu haitakubalika kwake"

Waislamu lazima watambe kwamba hii ni karne ya 21 mtu wa kisasa hawezi ishi kwa kanuni za karne ya 6.
Dunia ya sasa hakuna Binadamu anayependa kuishi maisha ya karne ya 6.
Ya kulazimisha kuishi maisha ya kale na kuto kuruhusu kusema mtu anavyopenda kuishi leo.

Sheria ktk Nchi za Ulaya zimetungwa kutokana na maoni ya watu wa jinsia zote, na jamii zote na hazikiuki haki za watu wengine.
Ndio maana kila mtu anapenda kuishi Ulaya.
 
Wewe badala ya ku deal na yule Pastor anayewanyoa Mavuz★ "mama zake" before the Altar, (women of the same age as his mother), wewe unakuja kuangalia maisha ya Watu wasiokuhusu!!
Hayo ni matukio ya vikundi vya dini tu na sio maisha ya jumla ya watu. kama hapa Tanzania ukileta video zake atakamatwa na kufunguliwa mashtaka.

Kwenye hoja.
Binafsi nawakubali sana Waislamu wa Jumuiya ya Ahammadiya.
Wanauelewa Uislamu vizuri sana, hawana Jazba, hawana kulazimishana maisha ya Sharia.
Wa Jumuiya ya Ahammadiya nawaona kama waislamu waliostaarabika vya kutosha katika kuishi na jamii zisizo za kiislamu.
Kama Gullam Mahdi wa Qardian India, alihusika katika kuanzisha hii jumuia hakika yeye anastahiri kuitwa Nabii wa Waislamu.
Ameanzisha Uislamu unaoangalia Upendo na mshikamano wa amani baina ya Waislamu. Na pia mahusiano mazuri na wasio Waislamu.
Mi nimewafuatilia sana Waahamadiya na nimejiridhisha kuwa unafundisha maisha yanayo endana na wakati uliopo.
Pongezi kwa hiyo hatua ndugu Mokaze, Allah aendelee kukufunulia yaliyo mema.
 

Similar Discussions

45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom