Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Sidhani kama una uhakika na kauli zako,,,au naomba utufafanulie nini maana ya "Suluhisho" kwa upeo wako? Maana sielewi mtazamo wako unaelekea wapi kutokana na kutolitumia vyema hilo neno
wewe pamoja na watanzania zaidi ya milion 20 kazi ni kulalamika ,kulia , kutoa machozi na kadhalika hivi vilio vyenu havina suluhisho lake hata mkiwa nalo mnataka liwe lenu mnataka kupewa mshiko kwanza ndio msaidie hao ndio watanzania walio wengi ndio wapinzani hao na ndio kauli mbiu za wapinzani wengi
subirini enzi zetu zifike