Why me? Kila mahusiano napitia magumu

venuss

Senior Member
Jul 2, 2016
116
291
Habari za jumapili,

Kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba ushauri kwa hichi kinachonisumbua kila siku, jinsia yangu mimi ni ke, lakini katika haya maisha ya mahusiano nimekua nikipitia magumu hadi najihisi labda mimi niko tofauti...

Nimejaribu kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi lakini hakuna hata uhusiano mmoja ambao unanileta positive impacts ingawa kila mwanaume ninaekutana nae hua anaonyesha kuvutiwa na mimi in all aspects (kitabia, upole, heshima) na mambo mengine, but at the end of the day naishia kuumia...

Na kwa bahati mbaya zaidi wote kimaisha wanakua wako chini lakini huwa najitahidi kutoa support hadi mtu anafikia mafanikio, ila akishafanikiwa kama ni gari atapanda mwingine na mimi naishia kuachwa...

Na ikitokea nimempata ambaye yuko well organized anakuwa anaonyesha hana imani na anahisi nimempenda sababu ya vitu ingawa sio kweli kabisa najikuta naishia tu kuumia na kitu kingine kinachoniumiza zaidi wakishaachana na mimi baada ya mda wanaanza kunisumbua na kudai I was a right person na hii hutokea kwa wote...Hichi kitu kinaniumiza, mbaya zaidi hata kama mtu kaoa still anakuwa maswala yake ya maisha atahitaji mimi nimshauri...

Naumia sana ndugu zangu natoa machozi kila siku, natamani ifike siku Mungu anione na mimi nimpate atakae tambua nafasi yangu kuna mda natamani nizae tu mtoto nisahau habari za ndoa lakini naona nitakuwa naidanganya nafsi yangu kuishi maisha ambayo sikuwahi yawaza...

Naamini humu kuna wetu wengi wenye busara watanisaidia kiushauri nini cha kufanya, naogopa sana kukata tamaa lakini najiona ndiko ninakoelekea...

Kama nitakua nmeandika vibaya am sorry...

Karibuni!
 
Habari za jumapili! Kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba ushauri kwa hichi kinachonisumbua kila siku....
Jinsia yangu mm ni ke, lakini ktk haya maisha ya mahusiano nmekua nikipitia magumu hadi najihisi labda mm niko tofauti......

Nmejaribu kua kwenye mahusiano ya kimapenzi lkn hakuna ata uhusiano mmoja ambao unanileta positive impacts ingawa kila mwanaume nnae kutana nae hua anaonyesha kuvutiwa na mm in all aspects(kitabia, upole, heshima) na mambo mengine, but at the end of the day naishia kuumia.

Na kwa bahati mbaya zaidi wote kimaisha wanakua wako chini lkn hua najitahidi kutoa support hadi mtu anafikia mafanikio, ila akishafanikiwa kama ni gari atapanda mwingine na mm naishia kuachwa..... Na ikitokea nmempata ambaye yuko well organized anakua anaonyesha hana imani na anahisi nmempenda sababu ya vitu ingawa sio kweli kabsaa najikuta naishia tu kuumia...
Na kitu kingine kinachoniumiza zaidi wakishaachana na mm baada ya mda wanaanza kunisumbua na kudai I was a right person na hii hutokea kwa wote..... Hichi kitu kinaniumiza, mbaya zaidi ata kama mtu kaoa still anakua maswala yake ya maisha atahitaji mm ni mshauri...

Naumia sana ndugu zangu natoa machozi kila siku, Natamani ifike siku Mungu anione na mm nmpate atakae tambua nafasi yangu.... Kuna mda natamani nizae tu mtoto nisahau habari za ndoa lakini naona ntakua naidanganya nafsi yangu kuishi maisha ambayo sikuwahi yawaza....

Naamini humu kuna wetu wengi wenye busara watanisaidia kiushauri nn cha kufanya, naogopa sana kukata tamaa lkn najiona ndiko nnakoelekea...

Kama nitakua nmeandika vibaya am sorry...
Karibuni!!
Kama vile nakufahamu. Kids are the best gift of them all, If you trust yourself to have them Mie ninaamini ni bora uwe na mtoto ama watoto kuliko ndoa za Tanzania. Watoto will always be with you, a husband may leave you for some reason or next.
 
Kama vile nakufahamu. Kids are the best gift of them all, If you trust yourself to have them Mie ninaamini ni bora uwe na mtoto ama watoto kuliko ndoa za Tanzania. Watoto will always be with you, a husband may leave you for some reason or next.
Yawezekana unanifahamu.... Pia asante kwa ushauri wako
 
Una tatizo....unayapa mahusiano too much attention
jaribu ku have fun kidogo
akija mtu hata unamkubali mchukulie kawaida
usi invest a lot hayo mahusiano
nenda taratibu tu......

wanasema love comes when you are not looking for it...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom