Habari wadau
Mimi ni shabiki sana wa soka la bongo.
Nimejaribu kuvuta kumbu kumbu sijapata kabisa mechi za mashindano ya bongo yenye ladha kama za caf champions league.
Jwaneng simpi sifa kwa kuifunga simba.
Ila nampa sifa kwa kupiga mpira mkubwa away bila kukata tamaaa mwanzo mwisho. Yaani ile spirit ya i have nothing to loose wameionesha kweli. Kama kufungwa nimeshafungwa kwa nini nibaki nyuma nizuie wacha nijipe raha ya kushambulia hata nikifungwa mengi poa tu
Mechi ambazo ni kali sana kwangu zote ni za mashindano ya caf.
Simba vs as vita ile ya niyonzima yupo simba
Yanga vs zesco ile ya kamusoko dakika za lala salama
Simba vs ud songo ile ya konde boy captain wa ud songo.
Yanga vs rivers ya juzi hapa taifa .
Simba vs mazembe ile ya boko anakosa penati.
Ukitazama burudani za mechi za caf unaona kabisa zinaongeza siku za kuishi za mshabiki. Hata king'amuzi kulipia unaona hujaibiwa na azam ama dstv
Ukitazama mechi hizo zote hizo mpira ni mtamu unatamani usiishe.. why ligi yetu haina mechi zenye ushindano wa level hizo.
Hivi ligi yetu kuna timu ishawai kufanya comeback ya 3-0 kweli?
Mimi ni shabiki sana wa soka la bongo.
Nimejaribu kuvuta kumbu kumbu sijapata kabisa mechi za mashindano ya bongo yenye ladha kama za caf champions league.
Jwaneng simpi sifa kwa kuifunga simba.
Ila nampa sifa kwa kupiga mpira mkubwa away bila kukata tamaaa mwanzo mwisho. Yaani ile spirit ya i have nothing to loose wameionesha kweli. Kama kufungwa nimeshafungwa kwa nini nibaki nyuma nizuie wacha nijipe raha ya kushambulia hata nikifungwa mengi poa tu
Mechi ambazo ni kali sana kwangu zote ni za mashindano ya caf.
Simba vs as vita ile ya niyonzima yupo simba
Yanga vs zesco ile ya kamusoko dakika za lala salama
Simba vs ud songo ile ya konde boy captain wa ud songo.
Yanga vs rivers ya juzi hapa taifa .
Simba vs mazembe ile ya boko anakosa penati.
Ukitazama burudani za mechi za caf unaona kabisa zinaongeza siku za kuishi za mshabiki. Hata king'amuzi kulipia unaona hujaibiwa na azam ama dstv
Ukitazama mechi hizo zote hizo mpira ni mtamu unatamani usiishe.. why ligi yetu haina mechi zenye ushindano wa level hizo.
Hivi ligi yetu kuna timu ishawai kufanya comeback ya 3-0 kweli?