Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Najiaminisha kuwa mwanaume na mwanamke wakikaa siti ya mbele ya gari.... asilimia kubwa huwa ni wenzi/wapenzi...
huwa najiuliza; kila nikipiga chabo toka kwenye benzi la mwaibula(daladala) na kubahatika kuona hizo 'kapo' mara nyingi huwa WAMECHUNIANA..!!
Hii inamaanisha nini?!!
huwa najiuliza; kila nikipiga chabo toka kwenye benzi la mwaibula(daladala) na kubahatika kuona hizo 'kapo' mara nyingi huwa WAMECHUNIANA..!!
Hii inamaanisha nini?!!