Why Kilimanjaro wageni hawafanikiwi, wachaga wametawala mkoa wote

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
837
1,358
Nimezunguka mikoa yote ya Tanzania, ila kitu ambacho nimekikuta mkoa wa Kilimanjaro ni cha upekee na utofauti mkubwa sana, Huu mkoa dominant force ni wachaga karibu asilimia 95% secta zote mkoa huu zimeshikiliwa na wachaga, cha ajabu ziwe sekta binafsi ama za kiserikali zote zimeshikiliwa na wachaga, nashangaa je serikali ndo haipendi Kilimanjaro ichanganyike na makabili mengine ama ni wao wenyewe wana Kilimanjaro, ni vitu vya ajabu sana.

Mikoa mingine yote Tanzania makabila yamechanyikana na watu wa makabila mbalimbali wamepata fursa ya kuwekeza mikoa hiyo siyo Kilimanjaro, mgeni kuwekeza Kilimanjaro lazma utafeli tu kwa asilimia kubwa.

Miongoni mwa sekta zilizojaa wachaga 94% ni Mabenki ya private na serikali hapa Moshi wamejaa wachaga, mashirika ya umma na taasisi za serikali, sekta binafsi yani masheli, maduka makubwa , mahoteli, viwanda, magereji, makandarasi.

Jamani hivi ni kwanini kama nadanganya , toa hoja kujitetea
 
Kwenye historia ya maisha yangu, nimezunguka mikoa karibu kumi kikazi,
Nimekuja kufanikiwa kimaisha nikiwa mkoani Kilimanjaro, sasa hivi nimeacha na kazi yenyewe nimejiajiri mwenyewe, kwa kweli ukitaka kupata akili ya kufanikiwa kimaisha jitahidi kuwa close na watu wa ukanda huu.

Wamenipa akili ilionisababisha nipate mafanikio katika maisha yangu.
Mungu ubariki mkoa wa kilimanjaro na watu wake.
 
Nimezunguka mikoa yote ya Tanzania, ila kitu ambacho nimekikuta mkoa wa kilimanjaro ni cha upekee na utofauti mkubwa sana, Huu mkoa dominant force ni wachaga karibu asilimia 95% secta zote mkoa huu zimeshikiliwa na wachaga, cha ajabu ziwe sekta binafsi ama za kiserikali zote zimeshikiliwa na wachaga, nashangaa je serikali ndo haipendi kilimanjaro ichanganyike na makabili mengine ama ni wao wenyewe wana kilimanjaro, ni vitu vya ajabu sana.

mikoa mingine yote tanzania makabila yamechanyikana na watu wa makabila mbalimbali wamepata fursa ya kuwekeza mikoa hiyo co kilimanjaro. mgeni kuwekeza kilimanjaro lazma utafeli tu kwa asilimia kubwa.

Miongoni mwa sekta zilizojaa wachaga 94% ni Mabenki ya private na serikali hapa moshi wamejaa wachaga, mashirika ya umma na taasisi za serikali, sekta binafsi yani masheli, maduka makubwa , mahoteli, viwanda, magereji, makandarasi.

Jamani hivi ni kwanini kama nadanganya , toa hoja kujitetea
Na wwe ukienda hko ndo utajfinza Jins ya ktafta
 
Nimezunguka mikoa yote ya Tanzania, ila kitu ambacho nimekikuta mkoa wa kilimanjaro ni cha upekee na utofauti mkubwa sana, Huu mkoa dominant force ni wachaga karibu asilimia 95% secta zote mkoa huu zimeshikiliwa na wachaga, cha ajabu ziwe sekta binafsi ama za kiserikali zote zimeshikiliwa na wachaga, nashangaa je serikali ndo haipendi kilimanjaro ichanganyike na makabili mengine ama ni wao wenyewe wana kilimanjaro, ni vitu vya ajabu sana.

mikoa mingine yote tanzania makabila yamechanyikana na watu wa makabila mbalimbali wamepata fursa ya kuwekeza mikoa hiyo co kilimanjaro. mgeni kuwekeza kilimanjaro lazma utafeli tu kwa asilimia kubwa.

Miongoni mwa sekta zilizojaa wachaga 94% ni Mabenki ya private na serikali hapa moshi wamejaa wachaga, mashirika ya umma na taasisi za serikali, sekta binafsi yani masheli, maduka makubwa , mahoteli, viwanda, magereji, makandarasi.

Jamani hivi ni kwanini kama nadanganya , toa hoja kujitetea
Rudi ukajipange huna jipya nakupa kamfano kadogo tu pale bukoba biashara zoote zinamilikiwa na wahaya jaribu mgeni kufungua duka uone kama utapata wateja tena jamaa walivyokuwa wabinafsi kule kwao kiswahili kuongelewa ni kama mtu kuongea lugha ya kiingereza woote utakuta wanapiga kihaya kuanzia babu bibi mpaka mjukuu .
 
tatizo hawajui kusex kabisa japo ndoa zao zinadumu sana kwa sababu hata wanawake hawana nyege wanawaza tu hela hela babae muda wa kugegeda au kuwasa sex hakunaga mbee
Na hiyo ndio inacost watu aisee zinaa ni gharama,
"angalia mikoa inayosifiwa kuwa mapenzi ndipo yalipozaliwa, maisha ya watu eneo hilo ndio utakapotia akili"
Mc Msigwa ashasema usiruhusu akili ndogo itawale akili kubwa, yaani akili ndogo unayoificha ndani ya boksa kila muda itawale akili ilioko kichwani mwako?
 
Binafsi Nilikuwa Tunafanya Biashara Na Mchagga Kishkaji Tu Na Uaminifu ( Kama Unavyotujua Watanzania) Hapa Nilipo, Kanidhulumu Milion 200 Hapa Nilipo Sina Hamu Nao. Kwasababu Mimi Ninafanya Kazi Fulani Ya Ukaguzi, Nikikuta Mchagga Ana Kosa Sina Huruma Hata Kidogo. Ni Wakabila, Wabinafsi, Wadhulumaji Sana
 
Binafsi Nilikuwa Tunafanya Biashara Na Mchagga Kishkaji Tu Na Uaminifu ( Kama Unavyotujua Watanzania) Hapa Nilipo, Kanidhulumu Milion 200 Hapa Nilipo Sina Hamu Nao. Kwasababu Mimi Ninafanya Kazi Fulani Ya Ukaguzi, Nikikuta Mchagga Ana Kosa Sina Huruma Hata Kidogo. Ni Wakabila, Wabinafsi, Wadhulumaji Sana

labda million 200 ya Zimbabwe.
 
Huna jipya wewe, unataka tu wachaga waanze kutukanwa hapa, ndo unachopenda wewe.. mtu ukiwa huna cha kuandika ndo unaanza kuweka thread za kilimanjaro na wachaga
 
Binafsi Nilikuwa Tunafanya Biashara Na Mchagga Kishkaji Tu Na Uaminifu ( Kama Unavyotujua Watanzania) Hapa Nilipo, Kanidhulumu Milion 200 Hapa Nilipo Sina Hamu Nao. Kwasababu Mimi Ninafanya Kazi Fulani Ya Ukaguzi, Nikikuta Mchagga Ana Kosa Sina Huruma Hata Kidogo. Ni Wakabila, Wabinafsi, Wadhulumaji Sana
Endelea tu kufanya kazi yako ya ukaguzi, we biashara huwezi unaleta nyodo eti umetapeliwa milioni 200... hahahahah, hii kweli funga mwaka
 
Binafsi Nilikuwa Tunafanya Biashara Na Mchagga Kishkaji Tu Na Uaminifu ( Kama Unavyotujua Watanzania) Hapa Nilipo, Kanidhulumu Milion 200 Hapa Nilipo Sina Hamu Nao. Kwasababu Mimi Ninafanya Kazi Fulani Ya Ukaguzi, Nikikuta Mchagga Ana Kosa Sina Huruma Hata Kidogo. Ni Wakabila, Wabinafsi, Wadhulumaji Sana

Toa utoto wako hapa,udhulumiwe milioni 200 uache kumshitaki? Kadanganye kabila lako kwasababu inaonyesha mna umasikini mpaka wa akili.
 
Utafutaji Akajifunze Kwa Wakinga

- Huko Uchaggani Atajifunza Kuvuta Bange, Kula Mirungi, Gongo, Kula Ugoro, Wizi, Udokozi, Ukabila Na Dhulma - Mchagga Hata Kama Akiwa Padri Kaa Mbali Atakudhulumu Tu
Kama unataka kujifunza kutoa kafara Mwenza, Wazaxi au Watoto uko sahihi
 
Utafutaji Akajifunze Kwa Wakinga

- Huko Uchaggani Atajifunza Kuvuta Bange, Kula Mirungi, Gongo, Kula Ugoro, Wizi, Udokozi, Ukabila Na Dhulma - Mchagga Hata Kama Akiwa Padri Kaa Mbali Atakudhulumu Tu

Umetoka kwenye ukabila unaingia kwenye udini.
Tafadhali sana jifunze kuheshimu dini za wengine.Padre ni Mpakwa Mafuta wa Bwana na anatambulika kama Baba wa Kiroho.
Kuwa na ADABU.
 
Back
Top Bottom