I keep asking myself why Africa is lagging behind.....do you see any light at the end of the tunnel?
Yes I see the light ... ..... ..... there ... right at the end of the tunnel, after removing the king of thieves in Tanzania. You know whom I'm talking about? The guy who stole some votes, he resides at Magogoni front with heavy police presence.
Miafrika Ndivyo Tulivyo - "Though this be madness, yet there is method in it."
Hayo madini ni ya wajanja wachache
aliyekudanganya kuwa madini ndiyo yanaleta maendeleo ni nani?, israel hakuna madini na wameendelea, botswana wanaipita tz kwasababu ya ufugaji, lesotho wanategemea zaidi ngozi..............zinduka, chukua hatua. Baada ya uhuru nyerere alisema: ili tuendelee tunahitaji-watu,ardhi,siasa safi na uongozi bora- kwa hiyo julius hakujua kama tuna madini?
I keep asking myself why Africa is lagging behind.....do you see any light at the end of the tunnel?
Simple....Miafrika Ndivyo Tulivyo