Mr Never Mind
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 287
- 335
Mpaka sasa Tuzo za TFF hawa ndo walioshinda
1.Kipa bora - Aish Salum Manula- Simba sc
2.Kocha bora ligi kuu-Didier Gomes Da Rosa-Simba Sc
3.Kiungo bora- Clatous Chota Chama- Simba Sc
4.Kocha bora ligi ya wanawake - Edna Lema-Yanga princess
5.Fair Play( mchezo wa kiungwana)- Kibwana Shomary- Young Africans
6.Mwamuzi bora- Ramadhan kayoko
7.Beki bora- Mohammed Hussein - Simba Sc
8.Tuzo ya heshima soka la wanawake- Maneno Tamba (RIP)
9.Mfungaji bora - John Bocco- Simba Sc
10.Mfungaji bora kombe la shirikisho- Reliant Lusajo- Namungo Fc
11. Rais wa heshina TFF - Leodigar Tenga
12.Kipa bora Shirikisho- Aish Salum Manula
13.Goli bora la mwaka- Sabiyanka - Tanzania Prison
14.Tuzo ya heshima - Abdala kibadeni
15.Mhamasishaji Bora - Bongo zozo
16. Bingwa ligi kuu Simba Sc
17 .Bingwa ligi ya wanawake - Simba Sc
18. Ligi ya wanawake Mshindi wa pili Young Princess