Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hili neno Abdallah kichwa wazi lilitokana na nini na kwanini haikuwa athumani,juma,etc???
mhh aya
so itabd waitwe na bernard kichwa waz..
Mtafute yoyote aliye chhangia mada atakusaidia!
subhana llah!!! mbona hivyo sasa na beside wewe ndio mafrudh unisaidie mana ndio ulioanzisha topic,,usifanye uchoyo shauri yako,,
Hapo kwenye blue nieleweshe kwanza!!nitakuelimisha zaidi.Hata ukitaka kumwona huyo wanaye mtajataja maelezo yake yapo!
mi sjaelewa bado...
Na kwanini kulikuwa na wimbo " Athumani x 3... Mk......mpana"? kwa nini iswe rashidi au josefu
Hapo umefunga kopo lako kwenye mti umekazana kuimba
Na ule wa " Amina .. amina kadala...........Namuogopa Ally ana kijiti kinene...." Kwa nini Amina na Ally na siyo Juma na Asha:A S-alert1:
''Abdallah kichwa wazi'' ni reference ya maungo fulani ya binadamu mwanamume
ooops i think is what i thought about,,,,,ok shukran....may allah b with u in ur whole day and night,,,
Why allah and not you be with me day and night with allah watching us...cherie..carro?