WHO yaitaka Tanzania kuzingatia kanuni za kisayansi kupambana na COVID 19

We ongea ki mataga tu, kwa sababu ninyi akili zenu ziko ndani ya friji, Anko Magu ndiye pekee anayefikiria kwa niaba yenu.

Watoto na wajukuu zenu watakuja kushangaa kwamba, ilikuwaje mkawa wajinga kuliko chifu Mangungo wa Msolopa ambaye aliingia mkataba akiwa hana elimu ya aina yoyote
Uko upande wa mabeberu??

Mtukome!!
 
Hawa majamaa kwanini wanaforce chanjo? Kwanza hawajasema hiyo chanjo kama ni ya Corona ya Kwanza au ya pili
 
Kwa ufupi ni kwamba WHO inaitaka Tanzania kushirikiana na mataifa mengine kupambana na Covid 19 kwa kutumia kanuni za Kisayansi.

Wanaeleza mchango wa Tanzania katika kupigania umoja siku za huko nyuma, vivyo hivyo wanaitaka Tanzania kuonesha umoja huo sasa kwa kushirikiana na mataifa mengine katika vita dhidi ya Corona.

Msingi wa kauli hii ya WHO ni kutokana na kauli tata aliyoitoa Rais Magufuli kuhusiana na chanjo. Wameeleza jinsi Rais Magufuli aliyerudi madarakani kupitia uchaguzi uliochafuliwa, namna ambavyo amekuwa kikwazo katika juhudi za Dunia katika kupambana na ugonjwa wa Covid 19. Mengine, soma mwenyewe.

Following controversial remarks by Tanzania's president, WHO urges country to stick to science in fight against Covid-19

By Radina Gigova, CNN

Updated 10:46 AM EST, Wed February 03, 2021

[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http://www][https://cdn-cnn-com]

(CNN)The World Health Organization (WHO) is urging officials in Tanzania to follow science in the fight against the coronavirus, after the country's president said the approved vaccines are "dangerous" and that "not all vaccines are of good intentions to our nation."
"Urging #Tanzania to ramp up public health measures such as wearing masks to fight #COVID19. Science shows that #VaccinesWork and I encourage the government to prepare for a COVID vaccination campaign," WHO's Regional Africa Director Dr. Matshidiso Moeti said on January 28, following President John Magufuli's comments from the previous day. "WHO is here to support the government and people of Tanzania," Moeti added.
WHO Director General Tedros Adhanom Ghebreyesus echoed Moeti's comments, saying "I join @MoetiTshidi's call for strong health measures and #COVID19 vaccine preparedness. Data-sharing by #Tanzania is also key, with cases surfacing among travelers and visitors over the months."

President Magufuli, who was reelected in a disputed October 2020 election, has been downplaying the virus and has told the health ministry not to rush to purchase vaccines.
"There are some of our fellow Tanzanians who recently did travel abroad in search of corona vaccines, they are the ones who brought back corona in our country after returning," Magufuli said at an event on January 27. "My fellow Tanzanians, let us stand firm, some of these vaccines are not good for us."
"I really urged the ministry of health to be very, very careful with all the vaccines which are imported into our country, not all vaccines are of good intentions to our nation, it is important that we Tanzanians be very careful with some of these vaccines imported to our country," he said.
"We need to put our God first but at the same time we take all the necessary measures, health precaution measures to protect ourselves against this disease, as advised by our country's health experts," Magufuli said. "We (Tanzanians) have lived for almost one year without the virus, and a good evidence is, most of us here we don't mask," he added.
During a news conference on Monday (February 1), Tanzania's Health Minister Dorothy Gwajima didn't say when the country will start receiving vaccines but instead reiterated the government's suggested hygiene practices, which include drinking plenty of water and taking local herbs, which the government claims, without evidence, can combat the virus.

Tanzania has not updated its Covid-19 data since late April, leaving the last number of reported confirmed cases at 509 and the death toll at 21. Those are also the latest numbers that Johns Hopkins University has published on its website.
Responding to a question about Tanzania's approach to handling the pandemic, Dr. John Nkengasong, Director of the Africa Centres for Disease Control and Prevention, said the continent must be united in its response to the virus in order to succeed.
"Africa operates with a strong coordination of the African Union (AU). Our position is clear, that we have to express unity of purpose to succeed as a continent," Nkengasong said.
"Tanzania is a great country, has been a great country in Africa preaching and promoting the values of unity on the continent," he said. "So great cooperation and great solidarity and great sense of unity of purpose from Tanzania is highly valued in this critical moment in our history."

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan tuna likiongozi lilafa mpaka basi
 
Kwa ufupi ni kwamba WHO inaitaka Tanzania kushirikiana na mataifa mengine kupambana na Covid 19 kwa kutumia kanuni za Kisayansi.

Wanaeleza mchango wa Tanzania katika kupigania umoja siku za huko nyuma, vivyo hivyo wanaitaka Tanzania kuonesha umoja huo sasa kwa kushirikiana na mataifa mengine katika vita dhidi ya Corona.

Msingi wa kauli hii ya WHO ni kutokana na kauli tata aliyoitoa Rais Magufuli kuhusiana na chanjo. Wameeleza jinsi Rais Magufuli aliyerudi madarakani kupitia uchaguzi uliochafuliwa, namna ambavyo amekuwa kikwazo katika juhudi za Dunia katika kupambana na ugonjwa wa Covid 19. Mengine, soma mwenyewe.

Following controversial remarks by Tanzania's president, WHO urges country to stick to science in fight against Covid-19

By Radina Gigova, CNN

Updated 10:46 AM EST, Wed February 03, 2021

[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http://www][https://cdn-cnn-com]

(CNN)The World Health Organization (WHO) is urging officials in Tanzania to follow science in the fight against the coronavirus, after the country's president said the approved vaccines are "dangerous" and that "not all vaccines are of good intentions to our nation."
"Urging #Tanzania to ramp up public health measures such as wearing masks to fight #COVID19. Science shows that #VaccinesWork and I encourage the government to prepare for a COVID vaccination campaign," WHO's Regional Africa Director Dr. Matshidiso Moeti said on January 28, following President John Magufuli's comments from the previous day. "WHO is here to support the government and people of Tanzania," Moeti added.
WHO Director General Tedros Adhanom Ghebreyesus echoed Moeti's comments, saying "I join @MoetiTshidi's call for strong health measures and #COVID19 vaccine preparedness. Data-sharing by #Tanzania is also key, with cases surfacing among travelers and visitors over the months."

President Magufuli, who was reelected in a disputed October 2020 election, has been downplaying the virus and has told the health ministry not to rush to purchase vaccines.
"There are some of our fellow Tanzanians who recently did travel abroad in search of corona vaccines, they are the ones who brought back corona in our country after returning," Magufuli said at an event on January 27. "My fellow Tanzanians, let us stand firm, some of these vaccines are not good for us."
"I really urged the ministry of health to be very, very careful with all the vaccines which are imported into our country, not all vaccines are of good intentions to our nation, it is important that we Tanzanians be very careful with some of these vaccines imported to our country," he said.
"We need to put our God first but at the same time we take all the necessary measures, health precaution measures to protect ourselves against this disease, as advised by our country's health experts," Magufuli said. "We (Tanzanians) have lived for almost one year without the virus, and a good evidence is, most of us here we don't mask," he added.
During a news conference on Monday (February 1), Tanzania's Health Minister Dorothy Gwajima didn't say when the country will start receiving vaccines but instead reiterated the government's suggested hygiene practices, which include drinking plenty of water and taking local herbs, which the government claims, without evidence, can combat the virus.

Tanzania has not updated its Covid-19 data since late April, leaving the last number of reported confirmed cases at 509 and the death toll at 21. Those are also the latest numbers that Johns Hopkins University has published on its website.
Responding to a question about Tanzania's approach to handling the pandemic, Dr. John Nkengasong, Director of the Africa Centres for Disease Control and Prevention, said the continent must be united in its response to the virus in order to succeed.
"Africa operates with a strong coordination of the African Union (AU). Our position is clear, that we have to express unity of purpose to succeed as a continent," Nkengasong said.
"Tanzania is a great country, has been a great country in Africa preaching and promoting the values of unity on the continent," he said. "So great cooperation and great solidarity and great sense of unity of purpose from Tanzania is highly valued in this critical moment in our history."

Sent using Jamii Forums mobile app


WHO is who??
 
KWANI LAZIMA...? CORONA TUKIPATA NI SISI...WACHA TUFE TU KWA KUKOSA CHANJO ZAO...KWANI WATAPATA HASARA GANI? TUKIFA WOTE KWA CORONA TUKIKOSA CHANJO ZAO WAJE WAJIBEBEE TU HII NCHI WATAJIRIKE...

KWANINI TUNALAZIMSHANA...?
Kama unatamani kufa, ufe wewe sisi hatuko pamoja na wewe. Tunaitaka haki yetu ya kuishi na tunaitaka serikali kutuhakikishia uhai wetu kwa kutumia mbinu zote zilizothibitishwa kisayansi. Mtu mmoja hapaswi kuhamua tufe au tuishi. Ndio maana busara zilitumika kuanzisha baraza la usalama.
 
Kwa ufupi ni kwamba WHO inaitaka Tanzania kushirikiana na mataifa mengine kupambana na Covid 19 kwa kutumia kanuni za Kisayansi.

Wanaeleza mchango wa Tanzania katika kupigania umoja siku za huko nyuma, vivyo hivyo wanaitaka Tanzania kuonesha umoja huo sasa kwa kushirikiana na mataifa mengine katika vita dhidi ya Corona.

Msingi wa kauli hii ya WHO ni kutokana na kauli tata aliyoitoa Rais Magufuli kuhusiana na chanjo. Wameeleza jinsi Rais Magufuli aliyerudi madarakani kupitia uchaguzi uliochafuliwa, namna ambavyo amekuwa kikwazo katika juhudi za Dunia katika kupambana na ugonjwa wa Covid 19. Mengine, soma mwenyewe.

Following controversial remarks by Tanzania's president, WHO urges country to stick to science in fight against Covid-19

By Radina Gigova, CNN

Updated 10:46 AM EST, Wed February 03, 2021

[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http://www][https://cdn-cnn-com]

(CNN)The World Health Organization (WHO) is urging officials in Tanzania to follow science in the fight against the coronavirus, after the country's president said the approved vaccines are "dangerous" and that "not all vaccines are of good intentions to our nation."
"Urging #Tanzania to ramp up public health measures such as wearing masks to fight #COVID19. Science shows that #VaccinesWork and I encourage the government to prepare for a COVID vaccination campaign," WHO's Regional Africa Director Dr. Matshidiso Moeti said on January 28, following President John Magufuli's comments from the previous day. "WHO is here to support the government and people of Tanzania," Moeti added.
WHO Director General Tedros Adhanom Ghebreyesus echoed Moeti's comments, saying "I join @MoetiTshidi's call for strong health measures and #COVID19 vaccine preparedness. Data-sharing by #Tanzania is also key, with cases surfacing among travelers and visitors over the months."

President Magufuli, who was reelected in a disputed October 2020 election, has been downplaying the virus and has told the health ministry not to rush to purchase vaccines.
"There are some of our fellow Tanzanians who recently did travel abroad in search of corona vaccines, they are the ones who brought back corona in our country after returning," Magufuli said at an event on January 27. "My fellow Tanzanians, let us stand firm, some of these vaccines are not good for us."
"I really urged the ministry of health to be very, very careful with all the vaccines which are imported into our country, not all vaccines are of good intentions to our nation, it is important that we Tanzanians be very careful with some of these vaccines imported to our country," he said.
"We need to put our God first but at the same time we take all the necessary measures, health precaution measures to protect ourselves against this disease, as advised by our country's health experts," Magufuli said. "We (Tanzanians) have lived for almost one year without the virus, and a good evidence is, most of us here we don't mask," he added.
During a news conference on Monday (February 1), Tanzania's Health Minister Dorothy Gwajima didn't say when the country will start receiving vaccines but instead reiterated the government's suggested hygiene practices, which include drinking plenty of water and taking local herbs, which the government claims, without evidence, can combat the virus.

Tanzania has not updated its Covid-19 data since late April, leaving the last number of reported confirmed cases at 509 and the death toll at 21. Those are also the latest numbers that Johns Hopkins University has published on its website.
Responding to a question about Tanzania's approach to handling the pandemic, Dr. John Nkengasong, Director of the Africa Centres for Disease Control and Prevention, said the continent must be united in its response to the virus in order to succeed.
"Africa operates with a strong coordination of the African Union (AU). Our position is clear, that we have to express unity of purpose to succeed as a continent," Nkengasong said.
"Tanzania is a great country, has been a great country in Africa preaching and promoting the values of unity on the continent," he said. "So great cooperation and great solidarity and great sense of unity of purpose from Tanzania is highly valued in this critical moment in our history."

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona chanjo ya HIV na TB hawajaiongelea?
 
Aisee mjomba ameteleza amegusa pamoto
Pabaya wapi hapo? Pfizer,Johnson@Johnson, Oxford, Sputnik ya Russia, AstraZeneca, Sinopharm ya Uchina wapo wanagombania wateja....unafanyika hadi ujanja wa muuza karanga kukuonjesha ili ununue....eti wanakupa chanjo za bure na Kisha unaambiwa ununue kwao washenzi Sana! JPM kazia hapo hapo, jamaa wanataka kutufanya panya wa majaribio ili wachapiche matokeo ya utafiti wao kwetu kwenye Lancet!
 
Kwa hiyo WHO wanasema mitishamba si sayansi na kuna vihiyo wataunga mkono. Kweli Magu kawashika pabaya! Sayansi lazima ihusishe gadgets and plastics! No wonder wanaka dunia nzima tumeze masumu yao ili akili zetu ziwe more plastic kwani tayari kuna maplastic na mazombi kibao ambayo chochote asemacho mzungu ni ndiyo.
 
Dunia ipo kwenye mtihani wa kumfuta huyu mdudu korona ila mataga mnashiriki kuihujumu dunia kwenye hii vita ngumu.
Hiyo hiyo dunia iliyokuletea corona ndiyo ikuletee na chanjo! Kwa kweli naanza kuunga mkono wale wanaodhani kwa sasa Magu ndiye kiongozi tunayemhitaji na aongezewe muda. WHO wanataka dunia nzima iwe na akili za plastic kama hizi. Wanakwambia Tanzania haifuati taratibu za kisayansi na wewe unashangilia kama Zombi ilhali shule ulifundishwa kwenye somo la sayansi kuwa kuna mimea tiba. Kizazi cha sasa kimekuwa aibu.
 
Kama unatamani kufa, ufe wewe sisi hatuko pamoja na wewe. Tunaitaka haki yetu ya kuishi na tunaitaka serikali kutuhakikishia uhai wetu kwa kutumia mbinu zote zilizothibitishwa kisayansi. Mtu mmoja hapaswi kuhamua tufe au tuishi. Ndio maana busara zilitumika kuanzisha baraza la usalama.
Kifo tumeumbiwa ikifika time yako utaondoka tu..! Mkemia mkuu kashathibitisha kuwa tuna dawa nzuri tu zitokanazo na mimea asili zinaweza kuisambaratisha Covid katika mwili wa mwanadamu... mkemia mkuu anatumia sayansi hiyohiyo wala sio tambitambi yule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa h
Kwa ufupi ni kwamba WHO inaitaka Tanzania kushirikiana na mataifa mengine kupambana na Covid 19 kwa kutumia kanuni za Kisayansi.

Wanaeleza mchango wa Tanzania katika kupigania umoja siku za huko nyuma, vivyo hivyo wanaitaka Tanzania kuonesha umoja huo sasa kwa kushirikiana na mataifa mengine katika vita dhidi ya Corona.

Msingi wa kauli hii ya WHO ni kutokana na kauli tata aliyoitoa Rais Magufuli kuhusiana na chanjo. Wameeleza jinsi Rais Magufuli aliyerudi madarakani kupitia uchaguzi uliochafuliwa, namna ambavyo amekuwa kikwazo katika juhudi za Dunia katika kupambana na ugonjwa wa Covid 19. Mengine, soma mwenyewe.


(CNN)The World Health Organization (WHO) is urging officials in Tanzania to follow science in the fight against the coronavirus, after the country's president said the approved vaccines are "dangerous" and that "not all vaccines are of good intentions to our nation."

"Urging #Tanzania to ramp up public health measures such as wearing masks to fight #COVID19. Science shows that #VaccinesWork and I encourage the government to prepare for a COVID vaccination campaign," WHO's Regional Africa Director Dr. Matshidiso Moeti said on January 28, following President John Magufuli's comments from the previous day. "WHO is here to support the government and people of Tanzania," Moeti added.

WHO Director General Tedros Adhanom Ghebreyesus echoed Moeti's comments, saying "I join @MoetiTshidi's call for strong health measures and #COVID19 vaccine preparedness. Data-sharing by #Tanzania is also key, with cases surfacing among travelers and visitors over the months."

President Magufuli, who was reelected in a disputed October 2020 election, has been downplaying the virus and has told the health ministry not to rush to purchase vaccines.

"There are some of our fellow Tanzanians who recently did travel abroad in search of corona vaccines, they are the ones who brought back corona in our country after returning," Magufuli said at an event on January 27. "My fellow Tanzanians, let us stand firm, some of these vaccines are not good for us."

"I really urged the ministry of health to be very, very careful with all the vaccines which are imported into our country, not all vaccines are of good intentions to our nation, it is important that we Tanzanians be very careful with some of these vaccines imported to our country," he said.

"We need to put our God first but at the same time we take all the necessary measures, health precaution measures to protect ourselves against this disease, as advised by our country's health experts," Magufuli said. "We (Tanzanians) have lived for almost one year without the virus, and a good evidence is, most of us here we don't mask," he added.

During a news conference on Monday (February 1), Tanzania's Health Minister Dorothy Gwajima didn't say when the country will start receiving vaccines but instead reiterated the government's suggested hygiene practices, which include drinking plenty of water and taking local herbs, which the government claims, without evidence, can combat the virus.

Tanzania has not updated its Covid-19 data since late April, leaving the last number of reported confirmed cases at 509 and the death toll at 21. Those are also the latest numbers that Johns Hopkins University has published on its website.

Responding to a question about Tanzania's approach to handling the pandemic, Dr. John Nkengasong, Director of the Africa Centres for Disease Control and Prevention, said the continent must be united in its response to the virus in order to succeed.

"Africa operates with a strong coordination of the African Union (AU). Our position is clear, that we have to express unity of purpose to succeed as a continent," Nkengasong said.

"Tanzania is a great country, has been a great country in Africa preaching and promoting the values of unity on the continent," he said. "So great cooperation and great solidarity and great sense of unity of purpose from Tanzania is highly valued in this critical moment in our history."

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa hawana lolote, wameshaharibu shirika, waseme nani alitengeneza korona.
 
Sio
Hiyo hiyo dunia iliyokuletea corona ndiyo ikuletee na chanjo! Kwa kweli naanza kuunga mkono wale wanaodhani kwa sasa Magu ndiye kiongozi tunayemhitaji na aongezewe muda. WHO wanataka dunia nzima iwe na akili za plastic kama hizi. Wanakwambia Tanzania haifuati taratibu za kisayansi na wewe unashangilia kama Zombi ilhali shule ulifundishwa kwenye somo la sayansi kuwa kuna mimea tiba. Kizazi cha sasa kimekuwa aibu.
sio hivyo tu, wanasena hii ni virus lakini wanatibu kama bacteria, Raisi yuko sahihi na wasimsumbue,
 
Back
Top Bottom