Who will quench this thirsty mind and soul of mine?

MindKey

Member
Dec 18, 2019
10
5
Dear colleagues,

be regarded accordingly.

it has been sometime now since i noted that my mind is thirsty, my soul is thirsty and the world around me is thirst and i am the one to quench the thirst of the world around me but before i get this done, my thirst need to be quenched first.

I have pulled myself over here expecting to encounter great minds, thinkers and colourful souls who can boost me up so as i can also boost others.

Your single effort to quench the thirst is highly appreciated in advance.

Thank you.
 
Whether you are a guy or a lady who cares? But most important be specific on the typical thirst you are! Is it socially, financially, politically, or what? Give the audience some tips so that to be served accordingly!
 
Whether you are a guy or a lady who cares? But most important be specific on the typical thirst you are! Is it socially, financially, politically, or what? Give the audience some tips so that to be served accordingly!



No retreat no surrender, thank you for your showing up. basically this is socially and academically.
not formal academic but rather the techniques of life to maneuver in different realms of life like financially and so forth
 
Express yourself for someone to understand the real situation you are!


well and good,

when i tried to explain myself on the swahili audience, i got hit with the same nature of question and my response was as outlined below;

1. kufahamu zaidi kuhusu tarakilishi (kompyuta)
2. Kufahamu njia mbalimbali halali za kuweza kupata hela (sina mtaji) na baadae kuweza kuwaelekeza wengine na kuwavusha wengine
3. Kufahamu namna ya kushawishi mtu au watu juu ya kitu fulani
4. Mbinu mbali mbali za kumfanya mtu anunue kitu
5. Kufahamu zaidi kuhusu saikolojia ya akili ya binadamu
6. Kufahamu namna ya kutengeneza wafuasi mtandaoni
7. Kufahamu tiba mbalimbali asilia, kutoka kwa makabila mbalimbali

Kama tukipeana ushirikiano katika haya, hakika si mimi pekee bali pia jamii ya Tanzania itanufaika na kupiga hatua kadhaa mbele

Thank you
 
Naweza kukusaidia kipengele hiki kwa jinsi nilivyokusoma.

"2. Kufahamu njia mbalimbali halali za kuweza kupata hela (sina mtaji) na baadae kuweza kuwaelekeza wengine na kuwavusha wengine"

Kama umepigika kweli utakuwa huna haibu ya kufanya biashara zenye hela lakini watu wanaona aibu na mazingira magumu.
Hatua ya kwanza:
Uza hiyo simu yako nadhani huwezi kukosa kiwango cha chini cha 50,000/. Hatua ya pili:
Kanunue sufuria la wastani la kujaa lita 10, Jiko la mkaa, unga wa ulezi kilo 5, maziwa fresh lita 2, sukari ya kuanzia, thermosi ya kuanzia, vikombe 5 na vijiko 2 na kikapu cha kubebea. Nenda sehemu za stend zenye msongamano mkubwa wa watu ambao hawalali. Wewe hiyo biashara ifanye usiku kuanzia saa 1 jioni. Baada ya hapo jiongeze kaanga chipsi. Nakuhakikishia utatoboa na kuwa tajiri! Tanguliza nidhamu ya hela!
 
Naweza kukusaidia kipengele hiki kwa jinsi nilivyokusoma.

"2. Kufahamu njia mbalimbali halali za kuweza kupata hela (sina mtaji) na baadae kuweza kuwaelekeza wengine na kuwavusha wengine"

Kama umepigika kweli utakuwa huna haibu ya kufanya biashara zenye hela lakini watu wanaona aibu na mazingira magumu.
Hatua ya kwanza:
Uza hiyo simu yako nadhani huwezi kukosa kiwango cha chini cha 50,000/. Hatua ya pili:
Kanunue sufuria la wastani la kujaa lita 10, Jiko la mkaa, unga wa ulezi kilo 5, maziwa fresh lita 2, sukari ya kuanzia, thermosi ya kuanzia, vikombe 5 na vijiko 2 na kikapu cha kubebea. Nenda sehemu za stend zenye msongamano mkubwa wa watu ambao hawalali. Wewe hiyo biashara ifanye usiku kuanzia saa 1 jioni. Baada ya hapo jiongeze kaanga chipsi. Nakuhakikishia utatoboa na kuwa tajiri! Tanguliza nidhamu ya hela!


Ahsante, ingawaje ni changamoto lakini i will see how best i can work it out.

Any other comment/idea?

thank you again
 
Ahsante, ingawaje ni changamoto lakini i will see how best i can work it out.

Any other comment/idea?

thank you again
Mambo mengine nikiyatazama looks like unataka kuwa mganga wa kienyeji! Hiyo ya uganga wa kienyeji hapa bongo utachemka kwasababu wako wengi wa kumwaga! Najua wewe ni mzungu! Kama maisha yamekushinda kwenu ulaya hapa bongo sio kabisa!
 
Mambo mengine nikiyatazama looks like unataka kuwa mganga wa kienyeji! Hiyo ya uganga wa kienyeji hapa bongo utachemka kwasababu wako wengi wa kumwaga! Najua wewe ni mzungu! Kama maisha yamekushinda kwenu ulaya hapa bongo sio kabisa!


Mkuu, nashukuru kwa michango yako but as of me, uganga no, no, no kabisa, a big NO!!!

But you know what, i am ambitious to be a good herbalist to help the society in alleviating health issues arising from the changing lifestyles.
I am not a 'mzungu' as you said but rather a Tanzanian.

Ahsante
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom