Who taught you to Smoke!!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
We makaka,mdada,mbaba,mmama unayesoma hii na unayependa kutembelea humi jamvini nani alikufundisha kuvuta sigara aina yoyote ile,SM,nyota,embassy Marbollo.
Ulikuwa na umri wa miaka mingapi na alikufundisha akikwambia inafaida gani?
 
We makaka,mdada,mbaba,mmama unayesoma hii na unayependa kutembelea humi jamvini nani alikufundisha kuvuta sigara aina yoyote ile,SM,nyota,embassy Marbollo.
Ulikuwa na umri wa miaka mingapi na alikufundisha akikwambia inafaida gani?
K WA BAHATI NZURI sivuti........ nishatumwa sana kuwasha sigara na dingi.......... nishakaa na wavuvi wavuta bangi ................. LAKINI SIVUTI NA SITAKI KUVUTA................. inasemekana pafu moja linakaa miaka saba kifuata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom