WHO: Siyo lazima Muuguzi kuvaa gloves wakati akimchoma mtu chanjo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,891
141,824
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani ( WHO) hapa nchini amesema siyo lazima kwa muuguzi anayemchoma mtu chanjo kuvaa gloves.

Msemaji huyo amesema WHO imelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya watu kuhoji mitandaoni kwanini muuguzi aliyemchoma chanjo Rais hakuvaa gloves.

Gloves huvaliwa kama muuguzi ana hofu ya kupata maambukixi kutoka kwa mgonjwa na siyo kila wakati.

Source: ITV habari!
 
Kwann sio lazima wakati kuna magonjwa yanayo ambukizwa kwa njia ya damu...

Ugingwa huu wa Ku peana nafasi hivyo ni lazima kuchukua taadhari zote...

Kuvaa mask
Kupeana nafasi
Kutoshikana shikana
Nk...

Mbona wana changanya watu...
 
HUYO MUWAKILISHI ANAMUWAKILISHA WHO HAWAHAWA WANASEMA TUKAE MBALIMBALI?
Muwakilishi mjinga sana huyo.
 
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani ( WHO) hapa nchini amesema siyo lazima kwa muuguzi anayemchoma mtu chanjo kuvaa gloves.

Msemaji huyo amesema WHO imelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya watu kuhoji mitandaoni kwanini muuguzi aliyemchoma chanjo Rais hakuvaa gloves.

Gloves huvaliwa kama muuguzi ana hofu ya kupata maambukixi kutoka kwa mgonjwa na siyo kila wakati.

Source: ITV habari!

Bora........

Chanjo hutolewa kupitia sindano....

Cha ajabu mara nyingi tu huwa tunachomwa sindano za "mikononi" na "makalioni" tena na MABOMBA MAKUBWA YA SINDANO na wala HATUWAONI WAUGUZI WETU WAKIVAA "gloves".....

#TujitokezeniKuchanjwa
 
HUYO MUWAKILISHI ANAMUWAKILISHA WHO HAWAHAWA WANASEMA TUKAE MBALIMBALI?
Muwakilishi mjinga sana huyo.
Mjinga kivipi?

Wewe ni mara ngapi umeshuhudia muuguzi akivaa "gloves" kila amchomapo mgonjwa sindano?!!

Kwani mgonjwa huyo ana "UGONJWA WA NGOZI MKUBWA"?!!

Kwani huyo muuguzi ana "mapele na mafangasi mikononi"?!!
 
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani ( WHO) hapa nchini amesema siyo lazima kwa muuguzi anayemchoma mtu chanjo kuvaa gloves.

Msemaji huyo amesema WHO imelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya watu kuhoji mitandaoni kwanini muuguzi aliyemchoma chanjo Rais hakuvaa gloves.

Gloves huvaliwa kama muuguzi ana hofu ya kupata maambukixi kutoka kwa mgonjwa na siyo kila wakati.

Source: ITV habari!
Ameamua kupotosha umma kumtetea Samia.
 
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani ( WHO) hapa nchini amesema siyo lazima kwa muuguzi anayemchoma mtu chanjo kuvaa gloves.

Msemaji huyo amesema WHO imelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya watu kuhoji mitandaoni kwanini muuguzi aliyemchoma chanjo Rais hakuvaa gloves.

Gloves huvaliwa kama muuguzi ana hofu ya kupata maambukixi kutoka kwa mgonjwa na siyo kila wakati.

Source: ITV habari!
Mbona sindano za makalioni wanavaa? Acha kutuletea porojo.
 
Back
Top Bottom