mi najua huyu alikuwa dereva wa Chacha Wangwe
Deus Mallya ni mpiga picha na designer rasmi wa Chadema? Jee hii habari ni ya kweli? Kuna mtu yoyote mwenye wasifu wake (CV) yake?
Deus Mallya ni mpiga picha na designer rasmi wa Chadema? Jee hii habari ni ya kweli? Kuna mtu yoyote mwenye wasifu wake (CV) yake?
D. Mallya , aliwahi kuniambia yeye ndie mmiliki wa JF.. Eti yeye ndie mwenye ID ya invisible a.k.a robot... Kwa sasa yupo libya anasoma.
D. Mallya , aliwahi kuniambia yeye ndie mmiliki wa JF.. Eti yeye ndie mwenye ID ya invisible a.k.a robot...
Kwa sasa yupo libya anasoma.
Unamaana hujui kama ameajiriwa Chadema?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us