Nani anamiliki Internet(Who owns the internet)?

naomba kujua jinsi navyoweza kumwona mtu anayewasiliana na mimi yuko wapi??nikijua ip address's yake naweza jua yuko wapi katika hii dunia???
 
faida nazojua mimi ni easy comminication,ndiyo maana siku hizi hatuandikiani barua kama zamani,tuna email,hasara ndio hivyo no private

Zamani mtu akitaka kununua gari mpaka afunge safari kwenda japan kwenye yard . the teh teh Now you do window yard shoping in japan while ukiwa Tanzania or anywhere. kwa maneno mengine tunaweza kusummary intarnent kama anywhere anytime.

Neno Global village dunia kama kijiji linatokana na internet . Binafsi nawashanga wafanya biashara aamabao kila baada ya wiki eti wanakwneda Dubadi au china tena kununua bdhaa zile zile. Kama umeshafanya physical contact kwa mara ya kwanza na unainitiate biashara unatakiwa kutumia fusra ya internet.

Ukitemblea tovuti kama hii Khan Academy inaweza kuona Tatizo la elimu na walimu wa somo linaweza kupata dawa kama shule zingekuwa na internet . Kivipi
  • kwa masomo yasiokuwa na walimu halisi wanafuzi wanggeweka projector ya mafundisho yaliyoandiliwa tayari
  • Gharama ya vifaa vya maabara kufanya practical ingepungua sababu wanafunzi wangetazama video ya prcatical

Upatikani wa taarifa imekuwa ni rahisi. Inashangza imekuwaje serikali ilingia mkataba na kampuni feki ya RIchmnd kwenye kanren hii ya Dgitial wakati with justa click unaweza kuapata taarifa za any trusted company. May be watendaji wetu hawajui faida na vitabu walitumia kuwafundishia enzi zao hawakutatajiwa internet.

Wataalam wansema information is power and knowledge. Internet inarahisisha kupatkana kwa information. Leo hii japo si rubani wa ndege lakini ninajua how an aircaft works. Najua rubani anatakiwa kufanya nini. naweza kujua na kuelezea sehemu mbali mbali za ndege with minimum time.

But sio taarifa zote zinazopatikana kwenye internet ni sahii na za ukweli. na sababu ugumu wa kumanage intanet kuna haara nyingine ambapo wajanja wanaw scam na kuwaibia watu. Wizi huu ni mkubwa sana nchi za nje. Matumizi yainternet na bishara nyingi zikiaza kufanya kazi trough internet na Tanzania yatakuja.

Kuna hii inaweza kuwa ni faida au hasara depending on how you view it. Kama huna hela ya kununua Windows 7 au photoshop unaweza kuzipata hapa Download music, movies, games, software! The Pirate Bay - The world's most resilient BitTorrent site . Internet imerahisisha "wizi" endelevu teh teh teh


Ohhh faida ziko nyingi saaaaaaaan endelea kutafuta nyingine
 
swali lako gumu kwelikweli,hapo ulipo labda unaniona kweupe!!
natamani ningekuwa hacker ningefanya vurugu mpaka watu wangekoma,

Hapana mimi siwezi kukuona kwa sasa labda ningekuwa mod wa JF. uwa hacker sio kazi kubwa sana miaka hii. NI asawa sawa na mprogrammer wa wa zamani na wasasa wale wa zamani waliumiza vichwa sana. Anyway najua maprogrammmer wa sasa wanaweza kunishambulia teh teh

Lakini ukibofya na usearch internet kuna nyenzo ziko ready made unaoweza utumia kuhack. Sasa hivi sio kila hacker ni mtaaalam.

Kuna wataala wameshaandika script za
  • kufanya DDOS attack kuizima site isipatkane kwa kufloood na request kibao
  • Kufanya SQL injection kuiba data kwenye site
  • Socia engineering
Kuna mada sharobaro amewahi kuandika kuhusu haya mambo itafute. Lakini sio kazi rahisi sana but st possible.

Ushauri wangu ni Hack to Learn dont learn to hack. Na kama unataka kujua mambo ya security na hacking unatakiwa ujifuzne na uinstall Backtrack Downloads.
 
Hapana mimi siwezi kukuona kwa sasa labda ningekuwa mod wa JF. uwa hacker sio kazi kubwa sana miaka hii. NI asawa sawa na mprogrammer wa wa zamani na wasasa wale wa zamani waliumiza vichwa sana. Anyway najua maprogrammmer wa sasa wanaweza kunishambulia teh teh

Lakini ukibofya na usearch internet kuna nyenzo ziko ready made unaoweza utumia kuhack. Sasa hivi sio kila hakce rni mtaaalam.

Kuna wataala wameshaandika script za
  • kufanya DDOS attack kuizima site isipatkane kwa kufloood na request kibao
  • Kufanya SQL injection kuiba data kwenye site
  • Socia engineering
Kuna mda sharobaro amewahi kuandika kuhusu haya mambo itafute. Lakini sio kazi rahisi sana but st possible.

Ushauri wangu ni Hack to Learn dont learn to hack. Na kama unataka kujua mambo ya security na hacking unatakiwa ujifuzne na uinstall Backtrack Downloads.


mimi ni mgeni sana hapa jf,lakini nahisi kila siku najifunza
 
Unaweza kuona moja ya faida kuu ya Internet ni kupunguza gaharama au matumizi na kurahisha upatikanaji, usambazaji au utafutaji wa habari

Mfano serikali ingeweka sheria kuwa watendadaji wake ote wawe skype ay yahoo na ndio watumie ufanya mawasilin yavoice wanaptaakuwasilianana watendaji wa ofisi nyingine wangeokoa gharama nyingi sana

Mtendaji wa ofisi X ya serikali akiwa dar anataka kuongea na mtedaji Y wa kigoma anatumia landline ambayo ni gharama . Lakini wakati huo huo ofisi nyingi za serikali zina interent. Je hao watedaji Internet inawasiadiaje kwenye majukumu yao.

Utagundua faida ya inaternet kwenye ofisi nyingi za serikali ni personal. Serikali haina faida ya ofisi zake nyingi kuwa na Internet. So kaa uko serikali mshauri bosi may be hajui . teh teh teh teh

USA kuna shule zinatumia skype kwenye kufundisha. Cheki mfano huuu jinsi shule zinavyoshirikiana u kutafuta watu wa kushirinikana nao kwenye midahalo School Skyping | Skype Education.


NB
But kwa kasi ya internet tuliynayo nadhani hii sio rahisi skype video conferencing inataka downlaod na upload capacity kubwa kidogo. May be kwa maneno machache sana ya Dar.
 
Pamoja na majibu mazuri ya Mtazamaji na wenzako lakini mimi bado najiuliza hivi hii internet anayeimiliki ni nani hasa, maana mwisho wa siku lazima haya mahela tunalipia yanatakiwa yawafike hao ambao pengine ndio wanagawa kilakitu kuhusu internet.
Mfano hawa ma ISP wetu wananunua wapi hizo bundwith kutuuzia sisi, na huu utofauti wa bei kati ya nchi na nchi unatokana na nini au ni kodi?
Je kwanini ISP wanabania sana speed?
 
Pamoja na majibu mazuri ya Mtazamaji na wenzako lakini mimi bado najiuliza hivi hii internet anayeimiliki ni nani hasa, maana mwisho wa siku lazima haya mahela tunalipia yanatakiwa yawafike hao ambao pengine ndio wanagawa kilakitu kuhusu internet.
Mfano hawa ma ISP wetu wananunua wapi hizo bundwith kutuuzia sisi, na huu utofauti wa bei kati ya nchi na nchi unatokana na nini au ni kodi?
Je kwanini ISP wan

abania sana speed?


tamaa za ajabu
 
Pamoja na majibu mazuri ya Mtazamaji na wenzako lakini mimi bado najiuliza hivi hii internet anayeimiliki ni nani hasa, maana mwisho wa siku lazima haya mahela tunalipia yanatakiwa yawafike hao ambao pengine ndio wanagawa kilakitu kuhusu internet.
Mfano hawa ma ISP wetu wananunua wapi hizo bundwith kutuuzia sisi, na huu utofauti wa bei kati ya nchi na nchi unatokana na nini au ni kodi?
Je kwanini ISP wanabania sana speed?


Paulss teknlojia ya intenet ina waaanzilishi lakini hakuna mmiliki wa internet. una vyombo vimemewak ambavyo ni non profit kusaidia coridnatio ama nilivyovitaja huko juu kama Internet engineering Task force ( iETF) na ICANN.

Hizi kampuni za ISP bongo zenyewe zinamiliki miundombinu ambayo mawasilino ya internet yanapita. Na wao ISP wanatemmgea mindombinu ya makampuni yenye satelite au Mkonga wa taifa ile mawasalino ya wateja wao yaunganishwe na internet. Tunaweza kuwabatiza hawa wenye satelite na mikonga kama "Super ISP".

So kama wewe una hela ukienda kuomba connetion moja kwa moja kwa hawa super ISP ambao ISP wengi ndo wanachukua kwao utakuwa na internte super kama uko korea( kwa mujibu wa data korea ndo nchi yenye internet yenye kasi zaidi)

Na ubora na aina ya mindombinu inayotumika ndio unaamua kiwango cha juu au cha chini cha bandwidth amabyo ISP au mteja anaweza kupokea.

Mfano kama Uwezo wa satelite ni mdogo na data trasnfer rate ya sateleite ni ndogo au iko slow kulinganisha na fiber optic. Teknolojia ya fiber optic ndio inatumika kwenye mkonga wa taifa.

So ISP wao wanatoza gaharama ili kurudisha gharama zao na wapate faida. na utafuti wa gharam unategmea mambo mengi ama vile
  • Idadi ya wateja - Ulaya gharama ni ndogo saabu vle vle watu wengi sana can share the cost na hivyo ISP waarudisha hela yao hata kwa gharama nafuu Huku bongo watu wachache wenye internt inabidi wakamuliwe ili kuwe na ROI
  • Kampuni zenyewe zina mipango na strategy tofauti eg zirudishe gharama zao baada ya muda gani na kwa style gani na hiyo inaathiri gharama ya kampuni X kuwa tofauti na kampuni Y au nchi na nchi.
Kubania Bandwidth nayo ina sababu tofauti tofauti.
  1. Uwezo tofauti na aina ya vifaa mawasiliano .- Mfano hata ISP wakimua kuachia maimum u dowload and upload capacity waliyonayo wa wateja wao . Mteja anayetumia modem ya 2G uwezo wake utakuwa tofauti na yule anayetumia 3G. Mteja anayetumia Dial up ADSL and cable conneton hawawezi kupata kiwango sawa. Jaribu kusoma hapa upate picha Internet Connections explained, A guide to dial-up, ADSL and Cable connections
  2. Vile vile ISP nao wanalipia miundombinu wanayotumia sometime kulingaan na matumizi au bandwidth waliyopewa. So hata ukiona neno unlimited bandwdth kutoa kwa ISP ni lugha tu sababu hata yeye ana kiwango cha mwisho anachoweza kutumia kwenye miundombinu ya hao wenye mikonga na satelite. ISo ili wasizidishe matumizi ndio maaana ISP wanatenga makundi kwa wateja wao.
Kama nimekosea maelezo nadhani wataalamu wengine wtanisahisha.
 
Pamoja na majibu mazuri ya Mtazamaji na wenzako lakini mimi bado najiuliza hivi hii internet anayeimiliki ni nani hasa, maana mwisho wa siku lazima haya mahela tunalipia yanatakiwa yawafike hao ambao pengine ndio wanagawa kilakitu kuhusu internet.
Mfano hawa ma ISP wetu wananunua wapi hizo bundwith kutuuzia sisi, na huu utofauti wa bei kati ya nchi na nchi unatokana na nini au ni kodi?
Je kwanini ISP wanabania sana speed?
ISP wote wananunua bandwith kutoka TTCL
 
Paulss teknlojia ya intenet ina waaanzilishi lakini hakuna mmiliki wa internet. una vyombo vimemewak ambavyo ni non profit kusaidia coridnatio ama nilivyovitaja huko juu kama Internet engineering Task force ( iETF) na ICANN.

Hizi kampuni za ISP bongo zenyewe zinamiliki miundombinu ambayo mawasilino ya internet yanapita. Na wao ISP wanatemmgea mindombinu ya makampuni yenye satelite au Mkonga wa taifa ile mawasalino ya wateja wao yaunganishwe na internet. Tunaweza kuwabatiza hawa wenye satelite na mikonga kama "Super ISP".

So kama wewe una hela ukienda kuomba connetion moja kwa moja kwa hawa super ISP ambao ISP wengi ndo wanachukua kwao utakuwa na internte super kama uko korea( kwa mujibu wa data korea ndo nchi yenye internet yenye kasi zaidi)

Na ubora na aina ya mindombinu inayotumika ndio unaamua kiwango cha juu au cha chini cha bandwidth amabyo ISP au mteja anaweza kupokea.

Mfano kama Uwezo wa satelite ni mdogo na data trasnfer rate ya sateleite ni ndogo au iko slow kulinganisha na fiber optic. Teknolojia ya fiber optic ndio inatumika kwenye mkonga wa taifa.

So ISP wao wanatoza gaharama ili kurudisha gharama zao na wapate faida. na utafuti wa gharam unategmea mambo mengi ama vile
  • Idadi ya wateja - Ulaya gharama ni ndogo saabu vle vle watu wengi sana can share the cost na hivyo ISP waarudisha hela yao hata kwa gharama nafuu Huku bongo watu wachache wenye internt inabidi wakamuliwe ili kuwe na ROI
  • Kampuni zenyewe zina mipango na strategy tofauti eg zirudishe gharama zao baada ya muda gani na kwa style gani na hiyo inaathiri gharama ya kampuni X kuwa tofauti na kampuni Y au nchi na nchi.
Kubania Bandwidth nayo ina sababu tofauti tofauti.
  1. Uwezo tofauti na aina ya vifaa mawasiliano .- Mfano hata ISP wakimua kuachia maimum u dowload and upload capacity waliyonayo wa wateja wao . Mteja anayetumia modem ya 2G uwezo wake utakuwa tofauti na yule anayetumia 3G. Mteja anayetumia Dial up ADSL and cable conneton hawawezi kupata kiwango sawa. Jaribu kusoma hapa upate picha Internet Connections explained, A guide to dial-up, ADSL and Cable connections
  2. Vile vile ISP nao wanalipia miundombinu wanayotumia sometime kulingaan na matumizi au bandwidth waliyopewa. So hata ukiona neno unlimited bandwdth kutoa kwa ISP ni lugha tu sababu hata yeye ana kiwango cha mwisho anachoweza kutumia kwenye miundombinu ya hao wenye mikonga na satelite. ISo ili wasizidishe matumizi ndio maaana ISP wanatenga makundi kwa wateja wao.
Kama nimekosea maelezo nadhani wataalamu wengine wtanisahisha.


mtazamaji huo mkonga tutakaotumia (fiber optic) kutakuwa na tofaouti gani na sasa?
 
INTERNET BANKING ACTIVITIES:
Today bank zote WORLDWIDE ziko linked together kwa internet . Benki moja iko linked na matawi yake yote kwa internet na ndo maana mtu unawekewa hela into ur account na unachukua iyo hela muda huo ukiwa ktk tawi jingine. Vilevile today,kuna internet banking ambapo kama unacomputer yako home kwako na umejoin na Internet banking na uko linked na internet,unaweza kufanya baadhi ya bank transaction while ur at home!
Kuna jamaa yangu ni worker apa TZ na anasoma Ulaya,mshahara wake unapitia NBC,akiwa huko ana access na NBC internet banking, ANATUMA HELA HUKU HOME kupitia the same!
So internet ina faida nyingi sana,mi naweza kusema bila internet sijui dunia hii ya leo ingekuwaje!
 
INTERNET BANKING ACTIVITIES:
Today bank zote WORLDWIDE ziko linked together kwa internet . Benki moja iko linked na matawi yake yote kwa internet na ndo maana mtu unawekewa hela into ur account na unachukua iyo hela muda huo ukiwa ktk tawi jingine. Vilevile today,kuna internet banking ambapo kama unacomputer yako home kwako na umejoin na Internet banking na uko linked na internet,unaweza kufanya baadhi ya bank transaction while ur at home!
Kuna jamaa yangu ni worker apa TZ na anasoma Ulaya,mshahara wake unapitia NBC,akiwa huko ana access na NBC internet banking, ANATUMA HELA HUKU HOME kupitia the same!
So internet ina faida nyingi sana,mi naweza kusema bila internet sijui dunia hii ya leo ingekuwaje!

thank you wende!
 
Watu wengi siku hizi wanapata Degrees mbalimbali thru online. Ambapo siku za nyuma apa TZ watu walikuwa na only one option ya kusoma distant learning ambayo ilikuwa ni kwa njia ya posta tu! Ofcoz ilikuwa timely cost na inefficiency, lakini hawakuwa na option nyingine.
 
Mi niliambiwa hakuna mmiliki.wa Internet ila Nasikia makao ni Marekani.. Sasa sijui labda kuna Watu humu wanajua zaidi

Ila kwa ufupi nilivyosikia internet ilianzia katika kambi za Kijeshi Marekani kwa Lengo la kupitisha Infomation Za siri Na Kutunza Infomation za Kijeshi ikihusisha mawasiliano kati ya Kambi hii na ile

Sina info zaidi si unajua tena kwenye vijiwe
 
Mkuu ikiwa lugha siyo tatizo, nakushauri ugoogle utajua mengi mno kuhusu swala hilo kwani hata watakaokupa majibu hapa wengi wao bila shaka watakuwa wamegoogle
 
Back
Top Bottom