kovidii
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 277
- 264
Wakuu habari za jion,polen na heka heka za ckukuu.kwa wale ambao mpo kwenye viti viref na lile disco letu la rc wa dar,bas tugonge cheers hukohuko kwa mbali tukizingatia social distance!.Kuna msemo wa kiswahil usemao tembea uone,nami leo ktk pita pita zangu mtandaon,nikakutana na huyu mwamba,wakuitwa shatta bandle.jamaa ni mzaliwa wa Ghana,bdo kijana na anajiita young millionaire nigga.picha linaanza jamaa ni mbilikimo(like tausi wa bongo muvi)ukimchek haraka haraka uson unaweza kusema umekutana na harmo rapa,yaan jamaa anasura ngum(zile za matunzo ziro)unaweza kusema ni mchoma mkaa tu kule manyovu,yaan jamaa mixa ana mapengo meno kadhaa ya mbele hamna... ukichek post zake Instagram jamaa anamdiss sana dangote,hd anafikia kusema atamwajir awe get man wake!!!.jamaa ni mpenz wa magar mazur,Kwan anamilik bently, rolls Royce, Mercedes c class,na g class.mbwembwe zake zikanifanya nichimbue data zaid kumfaham japo kwa ufup.kwenda kuchek utajir wake kumlinganisha na dangote,nikakuta jamaa kwamwacha mbali sana aliko dangote,wakat dangote ana net worth ya 8.7b usd, jamaa yeye anacheza kwenye64b usd!!!!!!dili kubwa inayomuingizia mkwanja ni uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya mafuta nchini kwake Ghana, Nigeria na falme za kiarabu.jamaa anakwambia akiwa na hasira hapo hapo ili kupoza hasira zake bs hupanda jet yake binafs na kuelekea popote mawazo yatakapomtuma.kumfaham kwake,kumechokoza mada ndan yang,nikiuliza iweje aliko dangote awe no1 Africa,wakat jamaa kamuacha karib mara8!!
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app