mm nilikuwa nafurahi sana nikiona Potter akiteseka kwa huyu mzee na hile sauti yake hata ukiziba masikio lazima umsikie tu.
Huyu Billy Drago ukute movie yake imetafsiriwa na Lufufu inafurahisha sanaCarlos (Billy Drago)mzee wa nyodo nguvu zenyewe hakana.
Bila kumsahau Amrish puli R.i.p
Ewaa ni SHAMBA KUBWA kweli inaitwa..Jambazi Seba staa J plus . Kuna shamba ndogo na Shamba kubwa kitambo niliona miaka 99 nilicheki
Hao ndo wenyewe na kuna mmoja China tulikuwa tunamuita MZEE IGO ana ndevu za vimviiCarlos (Billy Drago)mzee wa nyodo nguvu zenyewe hakana.
Bila kumsahau Amrish puli R.i.p
Hao ndo wenyewe na kuna mmoja China tulikuwa tunamuita MZEE IGO ana ndevu za vimvii
kipindi cha ALEXENDER LOU(ALEXZANDALUU) na wenzie ilikuwa hatari sana
bila kumsahau DANNY DENZONGPA na
GUSHAN GROOVER na mikogo kama ya BILLY DRAGO
pia kuna CARRY TAGAWA View attachment 1285884View attachment 1285886
Tagawa nilimuelewa sana kwenye mortal kombat.
Den umkute na San deo
Mukesh Rish aka SAMBA umemuachaAmjad khan aka gabbar singh katika sholay
Carlos (Billy Drago)mzee wa nyodo nguvu zenyewe hakana.
Bila kumsahau Amrish puli R.i.p
Na Rado.Bongo movie kuna Kishoka
Loki ni mtata sana anakuambia "Every villain is a hero in his own mind".LOKI.
2011: DIED
2012: stole the tesseract
2013: DIED
2017:stole the tesseract
2018: DIED
2023:stole the tesseract.😎
Nadhani unamaanisha movie ya shamba kubwaShamba la bibi sijaliona asee.. labda unihadithie..
Unazungumzia ile muvi inayoitwa Prey??
Jamaa mshenzi sana. AfuLOKI.
2011: DIED
2012: stole the tesseract
2013: DIED
2017:stole the tesseract
2018: DIED
2023:stole the tesseract.😎