Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,708
- 45,072
Bongo movie kuna Kishoka
Hiyo ya kibongo sijaiona. Ila hiyo prey nimeicheki zipo kama 3 hivi. Nadhani nilikua darasa la saba 20....
Hii ni movie pekee bora ya kininja iliyotengenezwa vizuri Tz (i say i) ilikuwa wayback!.
Yule jamaa wa misukosuko ndio aliyeigiza mule. Kisa kikihusu Jamaa alikuwa ni inspekta wa polisi akapewa kazi afuatirie genge la wauza madawa, kumbe hili genge lina maninja bana. Walimfata bar wakampa kipigo takatifu, na ile style yao ya kupotea!. ikabidi jeshi limpeleke akafundishwe uninja na yeye, baada ya hapo akaanza watafuta!.
Prey ni kisa cha kweli kilichoitokea familia fulani huko mbugani South Afrika, simba walipofanya yao!. Lions of Tsavo ni historia ya ujenzi wa reli ya waingereza huko mbuga za Tsavo-kenya, wazungu walipokutana na simba wajanja!.
Kuna movie nyingi sana za SIMBA sema nimesahau majina yake ila kile kiumbe ni 'killing machine' asikuambie mtu!.
Inaitwa PRIMEVAL kama sikosei ila mamba ndio anaitwa GUSTAVO na imechezewa ziwa Tanganyika.Star wake yule kaka wa michael kwenye PB!.Hiyo ya kibongo sijaiona. Ila hiyo prey nimeicheki zipo kama 3 hivi. Nadhani nilikua darasa la saba 20....
Kuna muvi ilichezewa Burundi inaitwa Gustavo kama sijasahau ya mamba. Umeiona?
Wale simba ni shida wanajua kunyakua na kutokomea kama vibaka wa kkoo!..Hii mada ya LION OF TSAVO ilishawahi kuwekwa humu
Hiyo hiyo. Hii na anaconda vilinifanye niogope kwenda kuoga bwawani nilipokua mdogo.Inaitwa PRIMEVAL kama sikosei ila mamba ndio anaitwa GUSTAVO na imechezewa ziwa Tanganyika.Star wake yule kaka wa michael kwenye PB!.
si ndio hiyo ulikuwa unaimaanisha?.
Joker ni chizi haswa kama mwana alivyosema ni smiling villain ndio mtu pekee anayeweza kumchekesha Batman.Namkubali sana hasa kwenye BATMAN yaani anaongea kwa mbwembwe
Kuna movie fulani hv sikumbuki jina lakini ni ya mamba hv kuna scene fulani hv mwana anakimbizwa na mamba anafanikiwa kumkwepa alafu anamtukana kwa middle finger mamba anaruka anamchukua mzima mzima anaacha kiatu tu mwana 😂😂😂Hiyo hiyo. Hii na anaconda vilinifanye niogope kwenda kuoga bwawani nilipokua mdogo.
Afu nikaonaga kipindi cha nyoka wa maji kwenye Nat Geo ndio nikaacha kabisa kuogelea
AliTagawa
Haaha alipigwa teke la nyuma na Dolph LunTagawa
Jambazi Seba staa J plus . Kuna shamba ndogo na Shamba kubwa kitambo niliona miaka 99 nilicheki
Hii ni movie pekee bora ya kininja iliyotengenezwa vizuri Tz (i say i) ilikuwa wayback!.
Yule jamaa wa misukosuko ndio aliyeigiza mule. Kisa kikihusu Jamaa alikuwa ni inspekta wa polisi akapewa kazi afuatirie genge la wauza madawa, kumbe hili genge lina maninja bana. Walimfata bar wakampa kipigo takatifu, na ile style yao ya kupotea!. ikabidi jeshi limpeleke akafundishwe uninja na yeye, baada ya hapo akaanza watafuta!.
Prey ni kisa cha kweli kilichoitokea familia fulani huko mbugani South Afrika, simba walipofanya yao!. Lions of Tsavo ni historia ya ujenzi wa reli ya waingereza huko mbuga za Tsavo-kenya, wazungu walipokutana na simba wajanja!.
Kuna movie nyingi sana za SIMBA sema nimesahau majina yake ila kile kiumbe ni 'killing machine' asikuambie mtu!.
Nakubali hili jembe. Jamaa ni linapiga then mkax....Bongo movie kuna Kishoka
Cersie lanister
Naunga mkono hoja..Na Thanos
Mzee alikuwa anampa sunny kazi nzito sana huyu.Marton Csokas aliecheza kama Quinn the Baron of the Badlands.