Who Is Missing A Lot?

Toboamambo

Member
Sep 16, 2007
26
5
Sheikh mmoja na Padri walialikwa kwenye semina Nairobi Kenya.

Siku moja jioni Padri alimpa ofa ya dinner huyu Sheikh. Wakati wanakula akaagiza bia na Sheikh akaagiza Fanta.

Padri :"mbona huagizi bia?"

Sheikh :"IT IS AGAINST MY FAITH"

Padri :"YOU ARE MISSING A LOT"

Kwa sababu walikuwa wameanza kuzoeana kesho yake Padri akatoa ofa ya lunch pia. Ilikuwa ni buffet na kitimoto kilikuwepo. Kwenye sahani ya Padri kitimoto kilikuwepo lakini Sheikh hakuchukua. Wakati wanakula

Padri :"Sheikh mbona hakuchukua kitimoto?"

Sheikh akajibu :"IT IS AGAINST MY FAITH"

Padri akajibu :"YOU ARE MISSING A LOT"

Jioni walipanda ndege kurudi Dar na pale Airport Sheikh alipokelewa na binti zake watatu warembo sana.

Naye akawatambulisha kwa Padri ambaye alionyesha kuvutiwa sana na warembo hao.

Sheikh alimuangalia Padri na akagundua kwamba amevutiwa na binti zake,

Sheikh :"unaweza ukaoa mmoja"
Padri :"'IT IS AGAINST MY FAITH"
Sheikh :"YOU ARE MISSING A LOT A LOT"


WHO IS MISSIG A LOT?
Wasomaji kazi kwenu! Nawatakia siku njema
 
subutuuuu
kuna padri anayemiss alot mabinti wa shule??
mbona wakati wa mfungo wa Ramadhani tukufu walaji wa kiti moto hupungua??/

i think the one who miss a lot ni yule ambaye anajikini mbele ya jamii huku akijianika uchochoroni
 
Padri! Padri! Padri! Weeeee kuna mtu alikuwa Mbishi akidhania Asali ni Tamu na akachemsha ije kuwa Bia na Kitimoto. Padri kwisha kazi yake.
 
Hii kali sana
Anyway jibu langu kwa mada hii litakuwa ni hivi, kutokula ama kutokunywa ni matashi binafsi, lakini anayekosa kitu halisi ambacho hakina cha kufanana nacho ni Padre. Shekh akikosa kula kitimoto atakula nyama ya ng'ombe nk lakini si Padre ingawa siku hizi wana-vi miss hivi vitu hadharani lakini mafichoni sawa na kitimoto kudorora nyakati za mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
 
kwa mbali saana naona kama kuna watu wanataka kuingiza thread za dini hapa,kazi kwako invinsible
 
Back
Top Bottom