Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Anyeonghaseyooooooooooooooooooooooooooooo!

Watu mnapenda snaaa kuropoka vitu hamna hata DATA navyo kama sio wasomi vile! Wengine Mange mmemjua ukubwani mwenu ila mnavopenda kujifanya mnamjua sasa hovyooooooo! Sasa leo nawaletea biography yake mlinganishe na ZENU afu ndo mmjadili.

WHO IS MANGE KIMAMBI NOW!
Mange Kimambi Lowery is a mother of 3 children, married to an American citizen Mr. Lowery since 2008, lives in Los Angels U.S.A. She has 2 sons and 1 daughter, she is 34 years old, Pare by origin and an orphan. She was grew up in Mbezi beach Africana, (ile nyumba opposite Shelli, baada ya Boa bank au next to Nmb ghorofa moja hivi ina ukuta wa mawe nje pale sasa) she was raised by his father and her step mom! Never had best relation with her mother but who are you to judge? Had a very luxorious life growing up being a daugher of a sucessful construction businessman, and she stood up on her own when her passed away at her tender age.

Economy
She is an entrepreneur with 2 online shops, www.bongolicious.com. and Hollywood Shopaholics, and she is also a machinga doing bongolicious in bongo atleast 4 times a year. She is also a bloger exclusively sponsored by Vodacom Tanzania.

Education
Primary Arusha
Secondary Zimbabwe
Collage USA
Degree Daresalaam
Masters United Arab Emirates

Work Experience.
Standard Chattered Bank part of Standard Group
Barclays Bank Dubai
Dubai World Bank.

Country visited
USA
United Kingdom
UAE
Mehico
Thailand
Uholanzi
Spain
India
Sultanate of Oman
South Africa
Canada
ETC (passport yake inachosha kuitizama kiukweli imejaa VISA za kila mahali.)

Personal Traits
Ambitious
Vigorous
Short tempered
Charittable,
Etc.

SwornEnemies
Linda Bedui
Staharisha
Jestina
Recho
Kisa
Missy TMK
Shammy
Sinta wa necha
Etc hawa ni highly publicised. Mi sijaona cv ya yeyote kati yao worth my time kuiweka feel free kuweka wewe.

Pamoja na kutumika nguvu nyingi mno mno kumchafua na kumrudisha nyuma huyu kiumbe Mange Kimambi remains an ambitious orphan, wife and a mother standing against all odds kujitafuta maisha, always getting rich or she will die trying. Mengi yamesemwa na yatasemwa but she is always the last person standing and has the last laugh.

From just an orphan to an international banker (wengine wazazi wote tunao na kupata kazi bank tu hapa bongo issue), a citizen of USA, surviving in LosAngels with 3 kids, she earned my respect. She made her own life.

Kwanini anaonekana mgomvi.?
Mi nasema wote wanaogombana nae wanamuonea wivu, sababu kwanza ni watu hawana kitu, hawana shule hawana lolote na umri umeenda wanatafuta tu cheap publicity. Hakuna mtu alieanza kuonewa na Mange, wengi wana mbeep akiwapigia wananza kujivictmise. Mange sio chizi na sio mnyonge. Na wote maadui zake wakubwa walianza kumuomba urafiki alipogoma ndo wakaanza vita.
Tujikumbushe
Linda bedui alianza kuihujumu biahsara ya mwenzie ya bongolicious na kumtukana facebook.
Sintah alianza kuachia comments za kumtusi mwenzi akaonywa akajitia hasikii matokeo yake mama yake mzazi kavuliwa nguo
Recho alimuomba urafiki kanyimwa
Sitaharisha nae alimuomba ubest akanyimwa akafungua blog kumtukana
Shammy alimpampu Sinta

KWELI MANGE KAMA BINADAMU ANA MAPUNGUFU PIA ILA HAWA WANAOFANYA NAE CYBER WARS WANAJITAKIA WENYEWE! Wanaanza kumchokoa mda anawapuuza. Kweli kuna watu wana mabeef na Mangenita ya ukweli afu heavy hukuti wanaanika mtandaoni kama kina Mwamy, Kisa, sophy,captain Hilda, na wale mashostito wa zamani.
 
Wakina advocate magai diamond maxence melo TK wote walimuomba urafiki???
Hahhaaaaaaa! MAX HAKUTUKANWA NA MANGE ILIWEKWA PICHA PUBLIC VIEW AKA PUBLIC OPINION YA WADAU HAIKUWA NZURI SASA HAPO MANGE KAKOSA NINI? Who is she to control public opinion? Mbona hii forum ya Max watu wanaweka topic, Mange anatukanwa na haweki post kumshutumu Max, coz sio Max alieanzisha uzi ni mimi. Huoni Max alitumia feedback positively hakujibizana, kajenga image yake positively saivi akiwekwa public opinion itakuwa tofauti.
Diamond kawekwa kama NEWS coz ni star, MBONA ANAWEKWA KUSIFIWA MARA KIBAO, na yeye humkuti anamjibu Mange coz anajua ile media.
Zadock namuogopa mwanasheri huyu mimi WALIKUWA NA BEEF KUBWA TENA ALIFUNGULIWA CASE NA MANGE amlipe implants zake. Wale wanajuana!
Tk alianza choko choko mwenyewe!
Mange sio chizi aanze tu kumchamba mtu! SOUZA nae alimbeep kupigiwa anawaya waya!
 
Max alimchokonoaje??????
Max ni public figure iliwekwa picha watu wakaamua kuharishaaa! NA YEYE MAXI TOKA ENZI HIZO MBONA WATU WALIKUWA WANATOA ISHU ZA ZE UTAMU KUMTUKANA MANGE NA WAZAZI WAKE AKAWA THREAD HAZIFUTWI HUMU JF? Mange alimjibu au kumshutumu? Hapana coz Mange alijua sio Max alieanzisha thread japo alifumbia macho swala hilo.
Nakule kwa Mange nae Max akapata TASTE YA PUBLIC OPINION AKA THE VIEW OF MAJORITY IS THE TRUE VIEW! Alijibu Max? Hakujibu! Coz anajua waliotukana ni PUBLIC, Mange alifumbia macho tu kama yeye analivofumbia macho masuala ya Mange humu kwenye forum yake.
 
Its time lara 1 uanzishe bloggs yako.....na ukianzisha beef zako huwezi jua..
na ukiweka hata lipshine ya jina lako kwa fans wako huwezi jua........

mimi naona ukiwa na blogg lazima uanzishe beef na mtu..inalipa mno......
watu watakuzungumza na kupitia blogg yako unapata hits zinafuata adverts....the rest is history
kama le mutuz vile......sasa kazi kwako lara 1 ....
 
Last edited by a moderator:
wanamuonea wivu?????? hawana shule????
OFCOURSE MAJORITY YAO 100% TRUE! Labda wachache kama kina LAWYER Zado na mind you THEY HAVE HISTORY na Max labda. Ila waliobaki wadada tu wamjini wanatafuta kick.

NA huyo Advoctae alitukanwa hadi humu Jf mara kibao, search jina lake humu jf utapa nyuzi kibao zinamjadili sio kwa uzuri.
 
Max ni public figure iliwekwa picha watu wakaamua kuharishaaa! NA YEYE MAXI TOKA ENZI HIZO MBONA WATU WALIKUWA WANATOA ISHU ZA ZE UTAMU KUMTUKANA MANGE NA WAZAZI WAKE AKAWA THREAD HAZIFUTWI HUMU JF? Mange alimjibu au kumshutumu? Hapana coz Mange alijua sio Max alieanzisha thread japo alifumbia macho swala hilo.
Nakule kwa Mange nae Max akapata TASTE YA PUBLIC OPINION AKA THE VIEW OF MAJORITY IS THE TRUE VIEW! Alijibu Max? Hakujibu! Coz anajua waliotukana ni PUBLIC, Mange alifumbia macho tu kama yeye analivofumbia macho masuala ya Mange humu kwenye forum yake.

alijua sio yeye anaeanzisha thread yet akaweka picha ya Max kule ili iweje is that how educated people handle stuff??? aliona hapendezwi angeongea nae yet akaweka picha yake kwenye blog yake.


ni sawa sa hivi aanze kumu attack Mack Zuckerberg kisa kuna kina fundenge wana post stuff and other shit kumuhusu yeye fb na insta.why dealing with the third part????

blog ka yake it's quite different na JF
 
Its time lara 1 uanzishe bloggs yako.....na ukianzisha beef zako huwezi jua..
na ukiweka hata lipshine ya jina lako kwa fans wako huwezi jua........

mimi naona ukiwa na blogg lazima uanzishe beef na mtu..inalipa mno......
watu watakuzungumza na kupitia blogg yako unapata hits zinafuata adverts....the rest is history
kama le mutuz vile......sasa kazi kwako lara 1 ....

umeona eeeeh ushauri aufanyie kazi lara one
 
Last edited by a moderator:
Its time lara 1 uanzishe bloggs yako.....na ukianzisha beef zako huwezi jua..
na ukiweka hata lipshine ya jina lako kwa fans wako huwezi jua........

mimi naona ukiwa na blogg lazima uanzishe beef na mtu..inalipa mno......
watu watakuzungumza na kupitia blogg yako unapata hits zinafuata adverts....the rest is history
kama le mutuz vile......sasa kazi kwako lara 1 ....

Umeonaaaaaa! Cha kushangaza WENYE BEEFWENGI NA MANGE WANA BLOGS au socia media pages zingine wanatafuta tu kick na watoke vipi.!!

Sema sasa huwaga hawa expect kama mambo yataenda out of propotion. Kama Sint wakati wa beef blog ilikua juu mnoo sasa mwenzie ana picha zake za uchikushamtangazi niguse nizimwage saivi hadhubutu kumgusa Mange blog inapumulia mashine! Cheap publicity aitoe wapi?
 
OFCOURSE MAJORITY YAO 100% TRUE! Labda wachache kama kina LAWYER Zado na mind you THEY HAVE HISTORY na Max labda. Ila waliobaki wadada tu wamjini wanatafuta kick.

NA huyo Advoctae alitukanwa hadi humu Jf mara kibao, search jina lake humu jf utapa nyuzi kibao zinamjadili sio kwa uzuri.

nipe jina la huyo advocate ni search nilipitwa sikuwa memba enzi hizo
 
OFCOURSE MAJORITY YAO 100% TRUE! Labda wachache kama kina LAWYER Zado na mind you THEY HAVE HISTORY na Max labda. Ila waliobaki wadada tu wamjini wanatafuta kick.

NA huyo Advoctae alitukanwa hadi humu Jf mara kibao, search jina lake humu jf utapa nyuzi kibao zinamjadili sio kwa uzuri.

ulisemaje wote wana wivu hawana elimu ilhali ukijua kuna hao wachache......
 
lara1 pamoja na kukubali kuwa Mange ni binadamu na ana mapungufu yake Lakini sioni hata sehemu moja unayo onesha au kueleza upande wake mwingine!

Hadi sasa umeonesha she is parfect na bila shaka unamjua vyema , ni kweli hao wote wana mchokoza na wana muonea wivu? Ni kweli hao wote hawajasoma wanao lumbana nae
?
 
Last edited by a moderator:
Lara, kuelezea tu kwamba alikuwa haelewani na mama yake mzazi tayari huyo mtu si mzima na inawezekana ana laana ya mama, haiwezekana mtoto wa kike usielewane na mama yako ,mama ni mama tu.
CV yake ni kubwa sawa ana exposure /amekaa mbezi beach lakini anabehave kama mtu asiyesoma na aliyekulia manzese kwa mfuga mbwa.
Mi naona tatizo kubwa la Mange ni jinsi anavyohandle mambo yake inawezekana anachokozwa au hachokozwi kwanini hajifunzi kupuuzia, tatizo anataka kuwa juu hataki kushindwa hata kama amekosea yeye anataka awe sahihi tu. Binadamu hawawezi kukupenda wote kwanini yeye anaendekeza maugomvi, halafu akigombana na mtu anatukana hata wasiohusika!! kama yeye hasingekuwa anaandika maugomvi yake na watu kwenye blog yake watu wala wasingejua kama haelewani na Mwamy,Kiki, Hilda etc ajifunze kudharau binadamu ndivyo walivyo. Halafu nahisi ana maadui wengi kuliko hao unaowasema tena hao kina Mbuta/Sinta/ naona ni kama wanatumiwa na watu wenye nguvu zaidi.
Mi namshauri japo simjui na nilikuwa shabiki wake sana U turn na Inst lakini nimeacha sababu hataki kushauriwa.
 
Status
Not open for further replies.
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom