Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Tumia correlation kueliminate the error!Du kama hesabu zako ndo hivyo. Kweli kazi mnayo so mnachangia mtu anayetukana. Kwenu the end justifies the means.
Well sipangiwi matumizi ya pesa yangu!
Tumia correlation kueliminate the error!Du kama hesabu zako ndo hivyo. Kweli kazi mnayo so mnachangia mtu anayetukana. Kwenu the end justifies the means.
Matapeli on fleckingia katika facebook yake ama social media zingine labda kaweka namna.
ndugu yangu mimi ninakufahamisha tu kama umeingia na mapenzi ya nchi yako na unamuunga mkono dada yetu kwa kujitoa mhanga katika kuleta mabadiliko.M
Matapeli on fleck
Kama unalipa na wewe fanya!!!
Wewe acha kusapoti ujinga, kwani waliondolewa kazini kwa kukosa vyeti hawakufanya mambo makubwa. Mie minamfahamu daktari mzuri aliyefanya makubwa lakini amelazika kuachia ngazi.Bashite akitoka ndiyo mtapata maji au umeme na huduma zingine? Matter of fact Bashite kafanya mambo ya msingi na makubwa ikiwemo ku initiate hospital ya kina Mama na watoto wakati wenye vyeti hawajahi kufanya chochote.
Mnaongozwa na Mange hadi mmekua kama mazezeta
Athari itakayo kuja kurokea kwa vijana ni kuporomoka kwa maadili katika upande wa matumizi ya lugha ya staha na badala yake wataona matusi ni jambo LA kawaida tu na unaweza kutukana bila shida.
Pili, vijana wanamezeshwa mbaya sana ya kutokuthamini juhudi za serikali na matokeo yake watakuwa watu wa kulalamikia tu serikali na kutaka vitu vinavyofanywa na serikali vifanyike haraka haraka au ghafla Bini vuu.
Vijana kutokuwa na hashima kwa viongozi wao wa serikali hivyo kufanya na kuzungumza watakavyo au wanavyofikiria bila kukumbuka kuwa mbona mange haongelei hapa nchini yuko marekani ndo anatupa madongo kwa mbali kama yeye jasiri kweli si angeongelea hapahapa.
Kwa Leo niongee hayo mafupi kwanza.
between two evils choose the lesser one, sasa hapo angalia kipi kina faida kwa wananchi wa kawaida yaani wavimba macho kama mmK
Kwa hiyo mkuu ulitaka ndege zisinunuliwe hadi dawa ziwepo hospitali, wanafunzi wawe na madawati nk. Hii kali
wanaomchukulia serious bila ya kuchambua kile akisemachoo.. Kuna muda mwingine anatoaga kasa nyingi tu na akijistukia anafuta harakaaNani mjinga zaidi Mange au watu wanaomchukulia Mange seriously.!?
Mashabiki wake ni zungu kukuwanaomchukulia serious bila ya kuchambua kile akisemachoo.. Kuna muda mwingine anatoaga kasa nyingi tu na akijistukia anafuta harakaa
Badala ya kuhangaika na viwanda mnahangaika na mitandao ya kijamii, bure kabisaView attachment 595940 View attachment 595940 View attachment 595940,View attachment 595940 Mange Kimambi ni moja ya watu wanatumia mtandao vibaya hususani kwa viongozi wetu, matusi mazito,kashfa, vimbwanga, vimbwanga n.k.pia ni mtu ambaye anao ushawishi mkubwa sana katika mitandao ya kijamii na watu wengi wanatumia mitandao hiyo wanamfatilia sana kujua Mange leo kaamka na nini.Ukimfatilia kwenye facebook, tweeter na instagram n.k wengi wanamfatilia mno,pamoja na serikali kufunguliwa kesi 17 bado hatuoni jjuhudi mbali mbali za kuhakikisha an afikishe kwenye vyombo vya dola.Kwa maoni yangu kwa kuwa Mange anaishi kwa Trump na sheria za nchi hiyo zinaruhusu Democrasia na Uhuru wa kujieleza zaidi,hivyo inaweza kuwa kikwazo kumkamata mtu huyu. Na kama alishaukana uraia wa Tanzania basi sina uhakika kama Marekani wako tayari kumwachia raia wao kushitakiwa kwa sheria za Tanzania.
Anataka akamatwe hizo ndiyo hoja za uvccm, badala ya kujibu hoja wamejikita kwenye ubabe na vitishokwahiyo unataka nini hasa??