Who is Maharage Chande?

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
Wakuu naombeni CV ya huyu kibopa wa zamani wa Standard Chartered Bank, then Vodacom na sasa NMB ni mtaalamu wa IT na amehusika katika kuchakachua kura kwa kutumia utaalamu wake uliobobea wa IT kwa kushirikishwa na TISS...
 

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
5.jpg

Hapa alipokuwa bosi wa IT and billing pale Vodacom na kushoto kwake ni bosi wake wa zamani pale Vodacom
 

ZionTZ

JF-Expert Member
Oct 6, 2009
1,281
535
Yupo nbc sio nmb, ni coo pale nbc. Jamaa ni kweli amehusika na uchakachuaji.....tunajiandaa kumfile kesi mahakamani ambayo itamrudisha ground zero. Stay tuned
 
2 Reactions
Reply
Top Bottom