Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,411
- 25,546
Kwanza kipindi cha kufundisha neno ni kidogo sana ktk ibada ni ka dk 15 tu, muda mwingi ni miujiza na blah blah, halafu ana injili ya vitisho ka vile usipotoa sadaka biashara yako itafilisika na vitu ka hivyo, na ktk mahubiri yake hujisifu sana na kutumia kauli ka Roho mtakatifu ni mbabe n.k kama unalijua neno ukisikiliza mahubiri yake utaguna mpaka ung'ate ulimi. Mbali na hayo ana kashfa nyingi sana za uzinzi na hadi kuna ndoa amezivunja na ushahidi uko, pia jinsi anavyowatreat wasaidizi ni vituko
Nilisikiliza mahubiri yake nikazima redio kwa haraka maana nilihisi ni shetani anahubiri....
Nafikiti kadiri siku zinavyokwenda huyu jamaa atajita mungu....
Kanisa lake ila linaanza kufa taratibu..