Blessed Upako
Member
- Sep 2, 2011
- 12
- 10
Acha kukuza maneno. Ninachojua jamaa alikuwa anampiga mke wake na alijaribu kumchoma moto. Watoto alikataa wasichukuliwe, mwanamke alifanya jitihada zote bila mafanikio. Hilo la kusema amekimbilia ndoa ya mtu mwingine unalijua wewe. Ninachojua huyo mwanamke hajaolewa tena.