Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,215
- 113,528
Hivi China na wao bado ni Wakomunisti (Wajamaa) au na wao wamedonyoa kidogo kutoka kwenye ubepari?
Hivi China na wao bado ni Wakomunisti (Wajamaa) au na wao wamedonyoa kidogo kutoka kwenye ubepari?
Hivi China na wao bado ni Wakomunisti (Wajamaa) au na wao wamedonyoa kidogo kutoka kwenye ubepari?
...mwanga kidogo wa kuelewa the motivation behind the man, the myth and the legend that is Mwalimu Nyerere.
"the myth... that is Mwalimu Nyerere" ni nini?
-- nimekimbilia kusoma nikifikiria Nyani atauliza lile swali tena!
Mzee Mwanakijiji au mwana-jamii yeyote anayemfahamu Mwalimu naomba mniambie kwamba nani alikuwa anamshauri katika mambo yake? kwa sababu hata kama mtu una vision lazima uwe na washauri au kama alikuwa anakwenda na vision yake peke yake. Ni kweli ilibidi watu wam-convice na waende na strong plan ya kum-convice, what if he was hard head yaani alikuwa hamsikilizi mtu? kwa sababu hata wewe unajua kuna watu huku JF ambao hata uwaambiaje hawakubaliani na wewe!. Kwa hiyo hata ukimuambia nini at the end yeye ndiye Raisi na ndio anaamua cha mwisho kwa hiyo sijui kama alikuwa anawasikiliza hao watu au hawasikilizi, na ni kina nani aliokuwa anawasikiliza.Lusajo, haitoshi mtu kuwa na mawazo tofauti tu ili asikilizwe, ni lazima awe na hoja yenye nguvu kushinda hoja iliyopo. Yeye mwenyewe alisema hivi "mtu mwenye akili akija na kukushauri kitu cha kipumbavu akijua na wewe una akili (kwamba utakiona ni cha kipumbavu) na wewe ukakubali atakudharau".
Nikiangalia baadhi ya watoa hoja humu na watu ambao tunajadiliana nao humu na kuwaweka hao kwenye utawala wa Mwalimu na kuwaambia watoea ushauri kwa Mwalimu na wakatoa jinsi wanavyotoa humu sitoshangaa kwanini ilikuwa ni vigumu kumshauri lolote.
Na kama mawazo ya namna hii ndiyo yanayotolewa kwa Kikwete sishangai kwanini tunaona hamsikilizi mtu yeyote kwa sababu kama hoja zinatolewa au zinapangwa zinavyopangwa hapa basi tuna matatizo makubwa zaidi kuliko uongozi mbaya.
Well, ninachotaka kusema ni kuwa Nyerere hakulazimika kukubali mawazo tofauti, alitakiwa kukubali mawazo yenye hoja tofauti na kubwa kuliko hoja zake. So far, sijasikia hoja iliyowahi kutolewa na kumshawishi Mwalimu aachane na hoja yake ya awali labda mara chache sana.
Mzee Mwanakijiji au mwana-jamii yeyote anayemfahamu Mwalimu naomba mniambie kwamba nani alikuwa anamshauri katika mambo yake? kwa sababu hata kama mtu una vision lazima uwe na washauri au kama alikuwa anakwenda na vision yake peke yake. Ni kweli ilibidi watu wam-convice na waende na strong plan ya kum-convice, what if he was hard head yaani alikuwa hamsikilizi mtu? kwa sababu hata wewe unajua kuna watu huku JF ambao hata uwaambiaje hawakubaliani na wewe!. Kwa hiyo hata ukimuambia nini at the end yeye ndiye Raisi na ndio anaamua cha mwisho kwa hiyo sijui kama alikuwa anawasikiliza hao watu au hawasikilizi, na ni kina nani aliokuwa anawasikiliza.
Na haikuwa lazima Nyerere kukubaliana na mawazo ambayo yalikuwa tofauti kabisaa, ila kama alikuwa anasikiliza hata hoja za kuboresha alichokuwa anakifanya yaani Ujamaa. Mimi naona ndio maana hata na Kwame N hawakuelewana kwa sababu ilikuwa ni vigumu sana kumshauri au kumbadili mawazo kwa sababu alikuwa sio mtu wa kubadilika (yaani anachofikiri yeye ndio uamuzi wa mwisho) haya ni mawazo yangu tu.
Mzee Mwanakijiji au mwana-jamii yeyote anayemfahamu Mwalimu naomba mniambie kwamba nani alikuwa anamshauri katika mambo yake? kwa sababu hata kama mtu una vision lazima uwe na washauri au kama alikuwa anakwenda na vision yake peke yake. Ni kweli ilibidi watu wam-convice na waende na strong plan ya kum-convice, what if he was hard head yaani alikuwa hamsikilizi mtu? kwa sababu hata wewe unajua kuna watu huku JF ambao hata uwaambiaje hawakubaliani na wewe!. Kwa hiyo hata ukimuambia nini at the end yeye ndiye Raisi na ndio anaamua cha mwisho kwa hiyo sijui kama alikuwa anawasikiliza hao watu au hawasikilizi, na ni kina nani aliokuwa anawasikiliza.
Na haikuwa lazima Nyerere kukubaliana na mawazo ambayo yalikuwa tofauti kabisaa, ila kama alikuwa anasikiliza hata hoja za kuboresha alichokuwa anakifanya yaani Ujamaa. Mimi naona ndio maana hata na Kwame N hawakuelewana kwa sababu ilikuwa ni vigumu sana kumshauri au kumbadili mawazo kwa sababu alikuwa sio mtu wa kubadilika (yaani anachofikiri yeye ndio uamuzi wa mwisho) haya ni mawazo yangu tu.
Asante Kaka kwa hiyo mmoja wa washauri aliowasikiliza ni Mzee Bomani.Lusajo,
Hilo swali ulilomwuliza Mwanakijiji--nani alikuwa anamshauri Mwalimu, niliwahi kumwuliza marehemu Mzee Bomani. Huyu mzee walitoka mbali sana na Mwalimu Nyerere tangu siku za TANU. Aliniambia kuwa watu wengi waliogopa kutoa ushauri kwa Mwalimu kwa sababu waliogopa maswali ambayo Mwalimu angewauliza. Ilibidi ujenge hoja yako barabara kabla ya kuitoa mbele ya Mwalimu na mzee Bomani alisema kuwa watu walikuwa wavivu wa kufanya homework zao na wakaishia kusema kuwa Mwalimu haambiliki, lakini si kweli. Mzee Bomani mwenyewe kuna vitu vingi tu alivyokuwa anashauriana na Mwalimu na kusikilizwa.Ukimshawishi Mwalimu hoja yako na kujibu maswali yake basi anaweza kukubaliana na ushauri wako. A lot of people did not have the patience to defend their hojas.
Jasusi uliyosema hapo juu yananikumbusha msimamo wa Mwanakijiji anaouonesha hapa jamvini kuhusiana na siasa zetu.... in a way wengi huwa wanamwona ni "haambiliki."
Hilo swali ulilomwuliza Mwanakijiji--nani alikuwa anamshauri Mwalimu, niliwahi kumwuliza marehemu Mzee Bomani. Huyu mzee walitoka mbali sana na Mwalimu Nyerere tangu siku za TANU. Aliniambia kuwa watu wengi waliogopa kutoa ushauri kwa Mwalimu kwa sababu waliogopa maswali ambayo Mwalimu angewauliza. Ilibidi ujenge hoja yako barabara kabla ya kuitoa mbele ya Mwalimu na mzee Bomani alisema kuwa watu walikuwa wavivu wa kufanya homework zao na wakaishia kusema kuwa Mwalimu haambiliki, lakini si kweli. Mzee Bomani mwenyewe kuna vitu vingi tu alivyokuwa anashauriana na Mwalimu na kusikilizwa.Ukimshawishi Mwalimu hoja yako na kujibu maswali yake basi anaweza kukubaliana na ushauri wako. A lot of people did not have the patience to defend their hojas.
Rev. Kishoka,
Soma Ujamaa Vijijini Mwalimu Julius K. Nyerere. Kilitungwa 1962/63 kwahiyo ni wazi alikuwa na hayo mawazo siku nyingi kabla hata ya kutangaza Azimio la Arusha.
Pia lazima ujue movements za vijana miaka hiyo ilikuwa ni kuelekea kwenye Ujamaa.
Baadhi ya vichwa vya Labour UK walimuunga mkono Nyerere na wengine kuishia kuhamia TZ na kufanya kazi na Mwalimu muda wote akiwemo huyo mama aliyekuwa secretary wake ambaye aliacha kazi yake ya maana na kumuunga mkono Nyerere.
Binafsi naamini Mwalimu alikuwa influenced sana na Labour ya miaka ya 50/60 na akachanganya na culture za Kiafrika za kusaidiana enzi hizo.