Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Mpaka leo hii tukipeleka watoto wetu wachanga kupewa chanjo ya polio huwa tunandaa kabisa panadol kuikabili homa ya takriban siku tatuShirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!
Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao.
Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential.
Tena wamama wakitoka kliniki utasikia wanasemezana
" ... Baba Jesca yani leo sijui kama tutalala maana Jesca leo kachoma sindano ya polio uje na kabisa Calpol ya uingereza ina shusha homa haraka usichukue ya India ni feki ..."
Shubaamit eti leo mnajishaua hapa sijui wazungu wanataka kuwamaliza halafu msivyokua na haya eti mnawaita mabeberu
Shwaini kabisa kutwa mnalinjaa imefikia hatua mnavunja katiba ya nchi waziwazi kwa kulazimisha wabunge wa upinzani waliofukuzwa chama waingie bungeni ili tu mpate ugali wasiku kutoka kwa hao mnaowaita Mabeberu ...
Yaani ningejaaliwa kuwa mmoja wa Mabeberu mi ningekua wakwanza kuwa tilia sumu mfilie mbali maana ni washenzi hamna shukrani hata kidogo hambebeki na dhiki zenu yaani mweusi ni mweusi tu haki ya Mungu