Mamabo ya maajabu kabisa. Yaani, jiwe anauliza WHO wajieleze kuwa wameshindwa na chnjo ya malaria na TB na kuna watu waku staajabisha kabisa. "eti who wajibu masuala" kabla kutuletea vaccine. huu ni mtihani kweli kweli. Huku tunakufaaaa. Zanzibar tunakufa maana kuna watu wanamuabudu Jiwe na hawshughuliki na kujikinga. Tunaambiwa tu pneumonia wakati ni korona. Pneumonia inatibiwa kwa antibiotics. Corona haina dawa. Hata ukivuta BANGI unakufa tu.