WHO: Fumigation haiui virusi vya corona, inaweza kuleta madhara mengine kwa kuvuta hewa yenye kemikali

IFRS

JF-Expert Member
Dec 19, 2014
2,904
5,168
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema dawa inayopulizwa mitaani ktk baadhi ya Nchi kama njia ya kujikinga na Corona haisadiii chochote kwenye kuua virusi hivyo. “dawa hiyo inaweza kuleta hatari kwa Watu kuugua magonjwa mengine yatokanayo na kuvuta hewa yenye kemikali”

Chanzo: CNN

Naona wabeberu wameanza kukubaliana na Rais Magufuli kwamba Kirusi cha Corona hakiwezi kufa kwa fumigation.
Ila nimeanza kuona matunda ya kuwa na rais mwanasayansi wa level ya PHD.
FB_IMG_1589714903314.jpeg
 
Tangu nimezaliwa na hata sasa, sjawahi kuona mtu namaanisha Raisi mwenye msimamo ambao hauyumbi kama Raisi Dr Jonh Joseph Magufuli, sjawahi,

Wengine wanaweza kusema wanachotaka wakione kikifanyika, ila baada ya mashambulizi kidogo tu hubadirisha misimamo Yao

Kwa Raisi wa Tanzania wa SASA, amesema Mengi ambayo wengi waliyashambulia na hata viongozi wengine ktk Chama chake walionyesha kuyumba, lakini yeye mwendo ni uleule habadrishi kauli na Wala hatishiki, Africa inahitaji watu wa Aina hii

Sasa hotoba zake zinafuatiliwa karibu na Dunia nzima, hii ni nini Maana yake,

Africa ilihitaji watu wenye Upeo tokea siku nyingi ndio iheshimike, sio kujikombakomba Kwa Wazungu na kuwatetemekea

Magu, Kamatia hapohapo

.
 
Ineffective = haina tija, siyo njia yenye ufanisi. Hii haina maana kuwa corona virus hafi kwa chlorine. Inawezekana akafa lakini spraying mitaa ni ineffective kwa vile pesa nyingi zinahitajika ku-cover maeneo makubwa kama miji mikubwa. Hii ni sawa na kuchoropoa mstari mmoja toka kwenye Biblia na kuupa tafsiri yako unayotaka. Na hao hao WHO ndio wamesema dawa ya Madagascar haijathibitiswa. Na ndio hao hao Dr Ndugulile alikuwa anafuata miongozo yao aliposema barakoa za vitambaa hazijathibitishwa kukinga dhidi ya corona, na kufukizwa siyo njia ya kutibu ama kukinga corona. Unasemaje juu ya hili?
Source: CNN
Naona wabeberu wameanza kukubaliana na Rais Magufuli kwamba Kirusi cha Corona hakiwezi kufa kwa fumigation.
Ila nimeanza kuona matunda ya kuwa na rais mwanasayansi wa level ya PHD.View attachment 1452563

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ineffective = haina tija, siyo njia yenye ufanisi. Hii haina maana kuwa corona virus hafi kwa chlorine. Inawezekana akafa lakini spraying mitaa ni ineffective kwa vile pesa nyingi zinahitajika ku-cover maeneo makubwa kama miji mikubwa. Hii ni sawa na kuchoropoa mstari mmoja toka kwenye Biblia na kuuapa tafsiri yako unayotaka. Na hao hao WHO ndio wamesema dawa ya Madagascar haijathibitiswa. Na ndio hao hao Dr Ndugulile alikuwa anafuata miongozo yao aliposema barakoa za vitambaa hazijathibitishwa kukinga dhidi ya corona, na kufukizwa siyo njia ya kutibu ama kukinga corona. Unasemaje juu ya hili?
Kuna watu ni wabishi sijapata kuona, unabishana na TV?
 
Kama unajua Kiingereza vizuri, utakubalina nami kuwa "ineffective" kwa maana yake hapa haina maana kuwa corona virus hafi kwa chlorine kama Jiwe alivyodai. Halafu tena "probably" = huenda.
Mkuu, usifosi! Ineffective maana yake unafanya ila haina madhara, kwa lugha nyingine unapoteza muda wako! Kutwanga maji kwenye kinu ili upate maji yaliyosagwa ni ZERO WORK! Kutwanga hapo ni INEFFECTIVE!
 
Chlorine is effective against the corona virus BUT spraying streets with chlorine is NOT an effective method of controlling corona outbreaks and is PROBABLY a waste of resources.
Mkuu, usifosi! Ineffective maana yake unafanya ila haina madhara, kwa lugha nyingine unapoteza muda wako! Kutwanga maji kwenye kinu ili upate maji yaliyosagwa ni ZERO WORK! Kutwanga hapo ni INEFFECTIVE!
 
Kwa hiyo unataka kusema tusitumie chlorine tena hospitalini? Kawadanganye wajinga.
Mkuu, usifosi! Ineffective maana yake unafanya ila haina madhara, kwa lugha nyingine unapoteza muda wako! Kutwanga maji kwenye kinu ili upate maji yaliyosagwa ni ZERO WORK! Kutwanga hapo ni INEFFECTIVE!
 
Back
Top Bottom