jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
kwa takwimu zipi sasa?,Vifo pia tunaongoza Africa!Hayo hamsemi!
kwa takwimu zipi sasa?,Vifo pia tunaongoza Africa!Hayo hamsemi!
Kwa nini??Bongo zenu zimeoza!
itaishia kusahihisha lugh tu ujumbe huu ni moto sana na badoCCM imetelekezwa kwani Mwenyekiti na Katibu Mkuu wameikimbia corona; wanachungulia tu kutoka mafichoni. Hivyo hivyo
na serikali ya CCM nayo imetelekezwa na Kiongozi wake Mkuu wake, Rais, naye kakimbia; anaichungulia tu corona kutoka mafichoni. Matokeo yake ni kwamba na wananchi, Watanzania, nao wametelekezwa na wameachwa wapuputike tu kama majani ya miti yaliyonyauka.
Ni kweli haijawahi kutokea, kitendo cha Rais wa nchi kukimbia na kujificha akiwaacha wananchi alioapa kuwalinda mikononi mwa COVID-18 wakipuputika ni unique na hakijawahi kutokea duniani. Hata lugha ya watu nayo tumeitelekeza na kuiacha ipuputike...awamu hii haijawahi kuwa na mfanowe na haitatokea iwe na mfanowe!
Have you heard WHO recent updates on covid 19?Shallow minded guy like you can't prove that WHO Has approved our president's plan on this disease can you?
Kwa fact wakati watu wanapukutika mitaani!!Tutampamba with facts my friend
Toughest job is to deny the realityToughest job on Earth, kusifia Mwanaume mwenzio January to January, wakati yeye na mkewe na wanawe hata habari hawana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaa upi huo?
Kwa wasiofikiriPumba Tupu
nitarekebisha mbona wao wanakosea kiswahili?
Kuna siku mtaumbuka tu, matter of timeKwani kuongoza kwa sasa ni shidaa?
Tuliwahi kuongoza kwa Ukimwi na Malaria
Unajua wanaokufa na HIV?Malaria Hypertension n.k?
Wataaombuka ni vibaraka wa mabeberu sio sisi
I wish to read them hereHave you heard WHO recent updates on covid 19?
Umeongea kama Gwajima.Mama yako, mke wako na baba yako wote wamekufa kwa Covid-19?
Go google kidI wish to read them here
Ha ha ha ...wamepoteza muelekeo