pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,084
- 12,407
Habari zenu wakuu,
Mwenye ufahamu wa hizi course mbili ipi Ina unafuu kutokana na Hali ya Sasa ya changamoto ya ajira Kati ya -Water resources and irrigation engineering au laboratory science au (laboratory technology).
Karibuni wakuu kwa mawazo na ushauri mbalimbali wasalam.
Mwenye ufahamu wa hizi course mbili ipi Ina unafuu kutokana na Hali ya Sasa ya changamoto ya ajira Kati ya -Water resources and irrigation engineering au laboratory science au (laboratory technology).
Karibuni wakuu kwa mawazo na ushauri mbalimbali wasalam.