The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.''Never Say Never''
Moja kati ya msemo wangu niliodumu nao kwa muda sana toka nikiwa mdogo...msemo wa Never say Never ni msemo niliusikia mara ya kwanza kutoka kwnye Movie ya Bad Company kupitia zile Kaseti za VHs. Jamaa nadhani alikua anaitwa Michael kama sikosei walipomaliza mission nzinto sana na yule mzee wake basi Michael akabahatika kuoa Binti mrembo sana na wakati wa harusi Michael alimrushia ua la harusi huyo mzee waliyefanya nae Mission nzito na kumtakia maneneo hayo matatu.
Hey.....''Neve say Never''
Misemo mingine ni kama:
Ni ipi misemo powerful kwako unayoipenda zaidi?
- There is always a light at the end of tunnel
- Don't undermine the small beginnings
- We rise by lifting others
- In laziness it won't, trust me
- Pain today pride tomorrow
What's yours?
Black hawk down movieOnly the dead have seen the End of the War
Hiyo nomaUnaishi kama nzi ukiamka tu unawaza mavi yako wapi. Mjomba wangu.