Inategemea mwenyewe unapenda ios ama Android, kama ni Ios na una uwezo wa ku Afford 13 pro max ni vyema ukaenda 13 pro max badala ya 12 sababu hii ya 13 ipo optimized zaidi.Chief-Mkwawa , nahitaji kununua kati ya s21 ultra ama iphone 12 pro max, tuseme budget sio shida kwa simu hizo mbili. ipi niruke nayo kwa mawazo yako wewe kama mtaalamu wa tech
Budget ya 13 pro max sina, nahitaji option kati ya hizo mbili!Inategemea mwenyewe unapenda ios ama Android, kama ni Ios na una uwezo wa ku Afford 13 pro max ni vyema ukaenda 13 pro max badala ya 12 sababu hii ya 13 ipo optimized zaidi.
Kama ni Android s21 ultra ni all around simu nzuri sana.
Kama Hujali kati ya Android ama ios still 13 pro max ni simu nzuri zaidi.
Kitu gani chengine ni priority? Matumizi ni yapi?Budget ya 13 pro max sina, nahitaji option kati ya hizo mbili!
Boss matumizi yangu ni ya kawaida, natumia A51 so nataka ni upgrade kwa high end smartKitu gani chengine ni priority? Matumizi ni yapi?
Nunua S21 ultra then.Boss matumizi yangu ni ya kawaida, natumia A51 so nataka ni upgrade kwa high end smart
au chukua google pixel..6pro au 7 pro..Boss matumizi yangu ni ya kawaida, natumia A51 so nataka ni upgrade kwa high end smart
Thanks Boss!Nunua S21 ultra then.
Kwanini mkuu!au chukua google pixel..6pro au 7 pro..
S21 ultra Bei yake Kwa sasa imesimamajeInategemea mwenyewe unapenda ios ama Android, kama ni Ios na una uwezo wa ku Afford 13 pro max ni vyema ukaenda 13 pro max badala ya 12 sababu hii ya 13 ipo optimized zaidi.
Kama ni Android s21 ultra ni all around simu nzuri sana.
Kama Hujali kati ya Android ama ios still 13 pro max ni simu nzuri zaidi.
Ukitaka mpya na warranty kila kitu bei haitofautiani sana na s22 ultra over 2m.S21 ultra Bei yake Kwa sasa imesimamaje
Huwezi kununua kitu used usikutane na changamoto, watu wangejikita kwenye kununua refurbished angalauFlagship Used ni changamoto sana. Ni simu zinazosumbua sana. yani haiwezekani ununue S8 au s9 hata S10 usikute ina changamoto.
Simu yangu bora ya muda woteSamsung A12
Jivute vute uchukue samsung note 10, utakuja nishukuru.Simu yangu bora ya muda wote
Refurbished ni simu ambayo imetumika ikaharibika ikatengenezwa na kuuzwa tenaNitoeni ushamba tofauti ya refurb na mpya ni nini na nitatambuaje simu ni refurb
ipo vizuri upande wa camera...Thanks Boss!
Kwanini mkuu!