Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
😂😂Kazi yake ilikuwa kuchekacheka tu kama boya
😂😂Kazi yake ilikuwa kuchekacheka tu kama boya
Jr Junior na Frida wote hawapo EA Radio kwa sasa, na mbadala wao ushapatikana, Kuna tetesi Frida tayari yupo Clouds japo bado hajatambulishwa rasmi, JR soon kuna sehemu tutamuona
Ahsante kwa update, sheikhJr Junior na Frida wote hawapo EA Radio kwa sasa, na mbadala wao ushapatikana, Kuna tetesi Frida tayari yupo Clouds japo bado hajatambulishwa rasmi, JR soon kuna sehemu tutamuona
Siku hizi nashindwa kuleta NYUZI za haya mambo, JF wamekuwa wanazifuta sana kila nikiweka wanafuta imenikatisha moral nimeamua kuachana nazo
Misago anakomaa na biashara yake ya Online tv na inamuingizia pesa sana kwa sasaAhsante kwa update, sheikh
Any update on Sam Misago?
Nakubali sana jitihada zako brother, uko deep kwenye hii tasniaJr Junior na Frida wote hawapo EA Radio kwa sasa, na mbadala wao ushapatikana, Kuna tetesi Frida tayari yupo Clouds japo bado hajatambulishwa rasmi, JR soon kuna sehemu tutamuona
mkuuu huyoo lesaa said nilivyo msikiaga mara kwanza nilithani anna peter karudi....!! ilaa fresh namwona mbaliii nayeye akijitumaaa zaidiNawapata maingizo mapya ,Lesa_sid anasound kama Anna Peter!! Freddo ana vibe la hatari dogo!!
Ni kweli kama asipotaja jina unaweza kujua ni Anna Peter!! Yupo vizuri perfect Combo na Dullah.mkuuu huyoo lesaa said nilivyo msikiaga mara kwanza nilithani anna peter karudi....!! ilaa fresh namwona mbaliii nayeye akijitumaaa zaidi
Ni kweli kabisa. Wana chemistry nzuri sana.Ni kweli kama asipotaja jina unaweza kujua ni Anna Peter!! Yupo vizuri perfect Combo na Dullah.
Misago pia naona angeendelea kuwapo kwa radio. Aendelee kupaisha jina na michongo yake ya mtandaoni.Misago anakomaa na biashara yake ya Online tv na inamuingizia pesa sana kwa sasa
Lessa katoka Tanga huko sema mbaya kinoma hana kalio sura kama ya baba ake.mkuuu huyoo lesaa said nilivyo msikiaga mara kwanza nilithani anna peter karudi....!! ilaa fresh namwona mbaliii nayeye akijitumaaa zaidi
Jr Junior na Frida wote hawapo EA Radio kwa sasa, na mbadala wao ushapatikana, Kuna tetesi Frida tayari yupo Clouds japo bado hajatambulishwa rasmi, JR soon kuna sehemu tutamuona
Nasa Kingu PM ndio anaefanya usajili, anajicho sana jamaa, japo huwa anapokonywa ila Mikoani huwa anachomoa sana vipajimi nataka kujuu jamaa anayfanyaga usjali palee east africa redio jamaa anaupeo mkubwa sanaa....!! maana kinaondokaga kitu kina leta kitu kipyaaa alafuu kina kiki balaaaa...
hasa huyu fredooo jamaa nathani ametuliasanaaa kuliko yale makelele ya jr junior nilikua simwelewagi kabsaa....
ila fredooo dogo yuko ft sanaaa...
Ndio huyo alishashiriki BSS, baada ya hapo akaenda Radio5 Arusha, Jicho la Nasa Kingu likamuona akajiunga EA radio na Kingsmash kutoka DodomaHivi huyo Frida ndio Malkia Fifi? Ndio kale kadada huwa kanacheka check Kenny dak10 za maangamizi??
Kuondoka kwa Jr kutaiathiri Dak 10 za maajab. Dulla hanaga vibe la kuwakoleza wahuni..
Ndio huyo alishashiriki BSS, baada ya hapo akaenda Radio5 Arusha, Jicho la Nasa Kingu likamuona akajiunga EA radio na Kingsmash kutoka Dodoma
East africa wanajichotea watangazi radio ebony iringami nataka kujuu jamaa anayfanyaga usjali palee east africa redio jamaa anaupeo mkubwa sanaa....!! maana kinaondokaga kitu kina leta kitu kipyaaa alafuu kina kiki balaaaa...
hasa huyu fredooo jamaa nathani ametuliasanaaa kuliko yale makelele ya jr junior nilikua simwelewagi kabsaa....
ila fredooo dogo yuko ft sanaaa...
Frida uwa namwelewa sanaJr Junior na Frida wote hawapo EA Radio kwa sasa, na mbadala wao ushapatikana, Kuna tetesi Frida tayari yupo Clouds japo bado hajatambulishwa rasmi, JR soon kuna sehemu tutamuona
Weka picha mkuu!Lessa katoka Tanga huko sema mbaya kinoma hana kalio sura kama ya baba ake.
Ila ni mkali balaa kwenye kusoma News kwenye Radio
Aiseee 3-5 Vichwa hatari sana hivyo kwenye michezo kumbe wametoka EBony ,Basi Ebony inavipaji sana kama SAUT kwa wanahabari.East africa wanajichotea watangazi radio ebony iringa
Fredo mbunji
Dj mubah
Tigana lukinja
David kampista
Ibra kasuga
Bahati Alex
Watangazaji wengi wa michezo wa radio nyingi huchukuliwa ebony fmAiseee 3-5 Vichwa hatari sana hivyo kwenye michezo kumbe wametoka EBony ,Basi Ebony inavipaji sana kama SAUT kwa wanahabari.