Where is freedom of expression?: Mkenya akamatwa kwa sababu ya kutumia uhuru wake wa kujiekeza kuhusu Corona

Hii sio mambo ya serikali. Hii ni mambo ya sheria zetu. Cap 33,34 na 35 of the constitution ndio zinahusu mambo ya communication. Kwa mujibu wa sheria ya Kenya, huruhusiwi kudanganya wananchi. Ukipatikana na kosa hili, lazima upelekwe kortini
Kila nchi ina katiba yake, 80% anayofanya Magufuli yapo ndani ya katiba, ila kuna maeneo anatumia ubabe kama ambavyo Uhuru Kenyatta anavyotumia ubabe kwa Miguna na Maraga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freedom of Information ni sheria ya mtu ku express ukweli au Opinion yake!

Freedom of Informaation hailindi mtu ambaye anaeneza uongo, propaganda au matusi.....

Serekali ilisema Kenya imepata first case ya corona kutoka kwa mwanadada ambaye ana miaka 26 alisafiri kutoka marekani ...

Alafu mama ambaye ana miaka karibia 40, ako na mtoto anajitokeza kusema kwamba Kenya hakuna corona , na ni yeye ndo anasemekana alikua na corona.... What happens next? Kila mtu ambaye anashindana na Jubelee anaanza kusema serekali inadanganya, Kenya hakuna corona..... Unafikiri propaganda kama hizi zikiwachwa zisambae zitafanya nini???? Watu hawatachukua hatua za kujilinda kutokana na corona, kila mtu ataenda na shughuli kama kawaida huku wakisambaza corona alafu baadae wakianza kufa wataanza kulalamikia serekali ilishinda kuwalinda...

Huu si wakati wa mchezo na propaganda za kijingaza watu wanaotafuta 15 min of fame.......
 
Wamewahi kuwepo wengi tu tena zaidi ya huyo aliyeufyata kisa vitisho!

Unamjua Stan Katabalo?
Unaongelea wanahabari wa 1992!!!!!!???? hii inaonyesha vile hamna wanahabari wajasiri kabisa.
 
Ulitaka wa mwaka gani? Uliza upya nmekujibu kuligana na swali lako.
Sisi huku investigative journalist wanaangusha siri zinazofichwa na serekali karibu kila wiki..
Unakuta ofisa wa serekali leo anatangaza jambo flani,kesho yake kwa habari unapata mwanahabari flani alienda undercover kumrikodi huyo ofisa akisema jambo lengine kinyume na alichotangaza hadharani... Yani wanahabari wanachambua kila kitu left, right and center.... kila wiki unakut serekali inalazimishwa kujitetea kwa scandal mpya ambayo imefichuliwa na wanahabari
 
Wala hakuna cha kuponda hapo, hata kichwa cha taarifa kinajieleza wazi kwamba jamaa amekamatwa kwa kutumia vibaya uhuru wake wa kujieleza. Kwa kueneza uongo kuhusu uongo kuhusu ungonjwa na virusi vya Corona. Hapo nawapa hongera DCI kwa kujali na kulinda maisha ya wakenya. Tumeona watu wakisambaza uongo mwingi sana kuhusu Corona. Jambo ambalo ni hatari kwa maisha ya binadamu na jitahada za serikali kwenye vita dhidi ya maambukizi ya virusi hivyo.

you what? Kwa nini basi hakukamatwa waziri wa Afya ambae ndie wa mwanzo kutoa taarifa zisizo sahihi? Kwa nini wamkamate yule ambae anatafuta ukweli wa taarifa zilizotolewa na serikali?
 
Kumbe yakiwatokea ndio mnafahamu kuwa uhuru una mipaka
Ngaguyaai, yaani unafananisha hizi taarifa na zile za wanahabari wanaokamatwa huko Magufulistan? Tena kwa kusema ukweli kwamba Jiwe ni dikteta, na hizi za huyu jamaa anayetuhumiwa kuhatarisha maisha ya wakenya wenzake kwa kueneza uongo kuhusu Corona? Kanyoo roi, kae moda ninye?
 
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

====
Every freedom and right granted by the law comes with a responsibility.

This is the immemorial rule of the law in all countries and territories that believe in respecting the rule of law.

In Kenya, like many other States the freedoms of expression, speech , media, access of information and interaction are covered in the supreme law.

In Kenya the freedom of expression/speech and media, and access to information are enshrined in Articles 33, 34, and 35.

These laws give citizens liberty to express their opinions, views, seek information and get informed through media reports.

Fundamentally, these freedoms make democracy pragmatic and their abuse, either by law enforcers and citizens could get the State in a state of chaos.

Since the outbreak of coronavirus, there have been many cases of misinformation and disinformation which are basically spreading false information without a bad intention and with a bad intention/maliciously respectively.

In Kenya for example, since the first case of COVID-19 was reported on Friday, March 13, there have been a lot of conflicting information spreading, living citizens in dilemma of choosing what is true and what needed to be ignored and trashed as false.

Immediately after Ministry of Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe announced the first case of a Kenyan having contracted the virus, many other conflicting information poking holes at the government's official position began to spread.

The CS described the woman as a 27-year-old who had traveled to the country from US through London, saying she lived alone but had came to contact with people she helped the State to trace.

One notable conflicting report from the public was a video from a woman who claimed she had traveled to the country from abroad.

In the video that went viral, the woman reiterated she was not the one identified by the government, begging the question who had in the first place said she was the one.

The government did not disclose explicit identification details of the woman owing to the right to confidentiality of a patients identity according to the Health Act.

The video made many Kenyans, who did not take time to verify the authenticity of the video to begin hitting out at the government for allegedly giving false details about COVID-19. The latter is not true.

"Since the UN said it will give some money to countries affected by coronavirus, Kenya has immediately recorded one case. Do you think what I am thinking" said one Kenyan who responded to the video posted on Twitter.

Another notable conflicting piece of information, was by @eozillexis6 @Hof elias who claimed on Twitter that the government had lied about the coronavirus case in Kenya.

"The government has lied to us. The said lady ..... came from Rome boarded on this plane. I am a staff at KQ. Guys they are lying," Hof eliastweeted.

This information brought the government in disrepute and caused panic among Kenyans.

This means the message flouted the freedom expression. The limits of the constitutional provision was stretched by the Kenyan, thereby breaking another equally important law of the land.

The Directorate of Criminal Investigations (DCI) swiftly traced the propagator of the malicious information and identified him as Elijah Muthui Kitony, 23.

The youth was arrested in Mwingi, Kitui county and will be charged with publishing misleading and alarming information, specifically on coronavirus.

"He will be charged for publishing false information that is calculated or results in panic contrary to section 23 of the Computer Misuse and Cyber Crimes Act of 2018. We urge members of the public to be responsible and to desist from authoring, publishing or sharing unconfirmed information that may cause panic and anxiety," DCI tweeted.

According to the Act, a person who knowingly publishes information that is false in print, broadcast, data or over a computer system, that is calculated or results in panic, chaos, or violence among citizens of the Republic, or which is likely to discredit the reputation of a person commits an offence.

The law indicates that if convicted, a suspect shall be liable to a fine not exceeding KSh 5 million or to imprisonment for a term not exceeding ten years, or to both.

Even as Muthui enjoyed his right to freedom of expression, he could have likely broken another law thus missing out on his responsibility.

Ends

Source: Coronavirus in Kenya: Abuse of Freedom of Speech Mwingi Man in trouble for lying about disease

Sent using Jamii Forums mobile app
"A person who knowingly publishes information that is false in print, broadcast, data or computer system that is calculated or results in panic, chaos, or violence among citizens of the republic, or which is likely to discredit the reputation of a person commits an offence and shall on conviction shall be liable to a fine not exceeding KSh 5 million or to imprisonment for a term not exceeding ten years or to both," reads section 23 of the act.
 
Freedom of expression comes with responsibility. Just the mere fact that you have the right to express yourself doesn't mean that you should abuse that freedom by providing false/misleading information to the public
 
Ngaguyaai, yaani unafananisha hizi taarifa na zile za wanahabari wanaokamatwa huko Magufulistan? Tena kwa kusema ukweli kwamba Jiwe ni dikteta, na hizi za huyu jamaa anayetuhumiwa kuhatarisha maisha ya wakenya wenzake kwa kueneza uongo kuhusu Corona? Kanyoo roi, kae moda ninye?
Yakiwatokea ndio mnafahamu kuwa uhuru una mipaka ili ikitokea nchi zingine mnasema ni udikteta 😂😂😂
 
Soma comment yangu tena na uangalie nilicho kuquote,
Yakiwatokea ndio mnafahamu kuwa uhuru una mipaka.

"A person who knowingly publishes information that is false in print, broadcast, data or computer system that is calculated or results in panic, chaos, or violence among citizens of the republic, or which is likely to discredit the reputation of a person commits an offence and shall on conviction shall be liable to a fine not exceeding KSh 5 million or to imprisonment for a term not exceeding ten years or to both," reads section 23 of the act."

Soma hii kwa umakini. Ukipenda nitakupa tasfiri.
 
Back
Top Bottom