joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
- Thread starter
- #41
Kila nchi ina katiba yake, 80% anayofanya Magufuli yapo ndani ya katiba, ila kuna maeneo anatumia ubabe kama ambavyo Uhuru Kenyatta anavyotumia ubabe kwa Miguna na MaragaHii sio mambo ya serikali. Hii ni mambo ya sheria zetu. Cap 33,34 na 35 of the constitution ndio zinahusu mambo ya communication. Kwa mujibu wa sheria ya Kenya, huruhusiwi kudanganya wananchi. Ukipatikana na kosa hili, lazima upelekwe kortini
Sent using Jamii Forums mobile app