Where is freedom of expression?: Mkenya akamatwa kwa sababu ya kutumia uhuru wake wa kujiekeza kuhusu Corona

Nyie mlimkamata mwanahabari na kumtia ndani bila hata kumpa bond. Sisi bond ni haki ya mshukiwa. Nyie mlimkamata mwanahabari na kumtia ndani bila kumpa fair trial. Mama ya mwanahabari Erick Kabendera alifariki kwa sababu ya stress lakini Erick akanyimwa ruhusa ya kumzika mamake. Nyie wakatili sana. Duh
Vipi kuhusu Miguna Miguna, pia mlifuata sheria zenu kumfurisha nchini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kumzika mamake chini ya ulinzi wa polisi pia hairuhusiwi kisheria? Sheria za kinyama hizo
Kwahiyo kwasbabu ninyi kwenu makosa yote sheria inaruhusu kupewa bond, kwahiyo unataka nchi zote zifuate ninyi?. Makosa aliyoshitakiwa nayo hayana bond kwa mujibu wa sheria zetu, Kwahiyo tumefuata sheria zetu sio zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohammed Ali sasa hivi ni mbunge. Kama serikali ilikuwa inataka kumuua basi angekuwa maiti saa hii. Lakini jamaa sasa hivi anakula bata. Hata rafiki yake waliyefanya naye kazi John Allan Namu pia yuko hai na hakuna anayemtishia maisha
Jacob Juma
Msando
Makaburi
Rogo
Boss wa Modern Coast
Hahahaha, hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria zenu zinalinda wanahabari na wanasiasa tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu analindwa na sheria. Jacob Juma alimalizwa pengine kwa sababu aliongea vibaya kuhusu watu fulani wenye nguvu kwenye serikali. Au inawezekana pia ni vita ya kibiashara. Ila nadhani aliunda uadui na watu wenye nguvu kumshinda aidha kibiashara au kisiasa.
 
Sababu ya kitiwa mbaroni ni baada ya yeye kupost video ya uwongo.Amefanya mzaha kuhusu corona.Leo hii clinic ya magonjwa ya ngozi AVANE imefungwa baadaye ya kuhadaa wakenya kwamba wanauza self test kit za corona.View attachment 1389765
Freedom of Expression mipaka yake ni nani anayeichora?, nani mwenye kuamua kwamba hapa ndio mwisho?. Acheni maneno mengi ya kujitetea. " Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha". Angefanya Magufuli ungekua ni uminyaji wa uhuru wa kujieleza, ila kwenu ni sawa sio kosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu analindwa na sheria. Jacob Juma alimalizwa pengine kwa sababu aliongea vibaya kuhusu watu fulani wenye nguvu kwenye serikali. Au inawezekana pia ni vita ya kibiashara. Ila nadhani aliunda uadui na watu wenye nguvu kumshinda aidha kibiashara au kisiasa.
Vipi serikali ilikataa kuruhusu vyombo vya nje kuchunguza mauaji yao pamoja na shinikizo kubwa toka NASA, wakati kifo cha Kenei haraka sana mumeita FBI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi mnajidanganya kwamba mahakama zenu zipo huru wakati zinatishwa na hazisikilizwi zinapitoa hukumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati Executive inakataa kusikiliza orders za judiciary. Hiyo ni tatizo la serikali ya Uhuru. Rais Uhuru mwenyewe ndiye anastahili kukosolewa kwa kutoheshimu orders za korti. Ila orders nyingi za korti huwa zinaheshimiwa. Sema hiyo mambo ya Miguna au Wanajeshi waliotuhumiwa kupindua serikali kutolipwa pesa zao. Ila ni mara chache sana serikali inakaidi amri ya mahakama. Hata nikikuambia unipe listi, hazitafika kumi
 
Freedom of Expression mipaka yake ni nani anayeichora?, nani mwenye kuamua kwamba hapa ndio mwisho?. Acheni maneno mengi ya kujitetea. " Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha". Angefanya Magufuli ungekua ni uminyaji wa uhuru wa kujieleza, ila kwenu ni sawa sio kosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mipaka ipo. Huwezi danganya wananchi kisha ukategemea tutacheka na wewe
 
Vipi serikali ilikataa kuruhusu vyombo vya nje kuchunguza mauaji yao pamoja na shinikizo kubwa toka NASA, wakati kifo cha Kenei haraka sana mumeita FBI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mambo ya kisiasa. Sheria zipo pengine useme wanasiasa ndio hawataki kuzifuata. Kama nilivyosema kifo chake aidha ni mambo ya kibiashara au siasa kwa hivyo huwezi tegemea wasiojulikana kujichunguza. Akili kichwani.
 
Kuna wakati Executive inakataa kusikiliza orders za judiciary. Hiyo ni tatizo la serikali ya Uhuru. Rais Uhuru mwenyewe ndiye anastahili kukosolewa kwa kutoheshimu orders za korti. Ila orders nyingi za korti huwa zinaheshimiwa. Sema hiyo mambo ya Miguna au Wanajeshi waliotuhumiwa kupindua serikali kutolipwa pesa zao. Ila ni mara chache sana serikali inakaidi amri ya mahakama. Hata nikikuambia unipe listi, hazitafika kumi
Kama ambavyo juzi uliomba ushahidi wa jinsi GoK anavyowanyanyasa waandishi Wa habari nikakutumia za kutosha, hata ktk hili ninaweza kukutumia za kutosha pia, tatizo nikikuwekea unapotea hauendelei na malumbano, ninaogopa kukupoteza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani sasa unaelewa kwamba, kila serikali inajiwekea mipaka yake, hakuna serikali ambayo ni 100% correct

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sio mambo ya serikali. Hii ni mambo ya sheria zetu. Cap 33,34 na 35 of the constitution ndio zinahusu mambo ya communication. Kwa mujibu wa sheria ya Kenya, huruhusiwi kudanganya wananchi. Ukipatikana na kosa hili, lazima upelekwe kortini
 
Kama ambavyo juzi uliomba ushahidi wa jinsi GoK anavyowanyanyasa waandishi Wa habari nikakutumia za kutosha, hata ktk hili ninaweza kukutumia za kutosha pia, tatizo nikikuwekea unapotea hauendelei na malumbano, ninaogopa kukupoteza

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha. Wewe ulianza kuleta mambo ya Sheikh Aboud Rogo. Nikaona wacha nisepe. Mimi nataka listi ya wanahabari waliofungwa na serikali au hata kuuwawa. Kama unayo leta.
 
Humu pamejaa lapdogs wa UHURUTO kazi kujifaragua!

Mohamed Ally alikuwa anaishi kama digidigi kisa makala za Fikra Pevu huo uhuru wa waandishi ama kujieleza wameupata lini?
Wewe ushawahi kuona au kusikia mwanahabari kama huyo mohamed ali huko TZ?
 
Back
Top Bottom