When Women Take Charge..!

Rejao, hili linahitaji utaalamu wa mapenzi kweli? Ah bana .... Hebu jiulize wanaume waliooa Ghana wanaishiishije iwapo kwa wastani wanapata huduma ya ndoa mara moja ndani ya siku 28?
Inategemea na Sample huyu researcher aliyoichukua...kwangu mimi naona alichukua wrong sample na akaigeneralize!
kwa hali ya kawaida kukaa kwa 28 days in average ndani ya ndoa bila kukutana ni ngumu sana.
 
Inategemea na Sample huyu researcher aliyoichukua...kwangu mimi naona alichukua wrong sample na akaigeneralize!
kwa hali ya kawaida kukaa kwa 28 days in average ndani ya ndoa bila kukutana ni ngumu sana.

Rajeo unazungumzia wanawake au wanaume? Maana utafiti unasema tendo kufanyika ndani ya ndoa na sio hawakutani lol........... Inawezekana sample iko sawa kutokana na lengo la utafiti!!

Labda wangeuliza zaidi wanafanya nini wanapokuwa na uhitaji loh.

Ila concern yangu mimi ni hapo anaposema Wanawake wanapokuwa ndio wenye maamuzi ya mwisho juu ya wakutane au wasikutane, ina maana kwa nchi kama Ghana ambako wanakaa muda mrefu bila kukutana hawa wanawake ndio wanaamua leo niseme ndio au leo niombe? Hahahah na mume yupo tu akisubiri kukubalika au kuombwa na mkewe?? ah huu utafiti umenikwaza!
 
And we have no way of verifying the veracity of their responses!

Mtu anakwambia hajaundama kwa wiki nne....mimi na wewe tuna uhakika gani na anachotuambia?

Dear naogopa usijenambia nawatetea but am sure kuna measures ambazo huchukuliwa angalau kuvalidate kinachoelezwa. Mi si mjuzi kihiiiivyo wa mambo ya tafiti but nadhani huwa kuna namna ya kuhakiki uhakiki wa tafiti otherwise hata mie ningekuja nikahesabu watu hapa jf na kutoka na report yangu. Sijui lakini!
 
hao lazima watakuwa na damu tofauti na zetu inakuaje labda watuambie wanavibanda saidizi pembeni

................ Mwenzangu si umeona, halafu wanailink na women;s power wanataka kusemaje? hata sijawaelewa naona kama wanataka kusema wanawake ni wakorofi wakiwa na power ndani ya nyumba wanaiendekeza mpaka vyumbani? Dictatorship mpaka chumbani??
 
Dear naogopa usijenambia nawatetea but am sure kuna measures ambazo huchukuliwa angalau kuvalidate kinachoelezwa. Mi si mjuzi kihiiiivyo wa mambo ya tafiti but nadhani huwa kuna namna ya kuhakiki uhakiki wa tafiti otherwise hata mie ningekuja nikahesabu watu hapa jf na kutoka na report yangu. Sijui lakini!

Kwenye hizi tafiti watu huwaga wanadanganya na zipo tafiti juu ya tafiti kuhusiana na udanganyifu wa majibu ya watu kwenye tafiti. Tumia tu hata common sense yako. Mtu akijibu kuwa hufanya sex mara kadha wa kadha kwa mwezi au kwa wiki, wewe na mimi tutajuaje kwa uhakika kuwa hicho anachotumabia ni cha kweli? Njia pekee ya kujua labda iwe mimi au wewe ndiyo tunalala na huyo mtu.

But anyway, check out this piece from Wikipedia regarding the Bradley effect. I know it is about opinion polls but opinion polls and surveys have a lot in common.

The Bradley effect, less commonly called the Wilder effect,[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP] is a theory proposed to explain observed discrepancies between voter opinion polls and election outcomes in some United States government elections where a white candidate and a non-white candidate run against each other.[SUP][3][/SUP][SUP][4][/SUP][SUP][5][/SUP] The theory proposes that some voters will tell pollsters they are undecided or likely to vote for a black candidate, while on election day they vote for the white candidate. It was named after Los Angeles Mayor Tom Bradley, an African-American who lost the 1982 California governor's race despite being ahead in voter polls going into the elections.
 
Na hao wanaume wa ki Ghana wakicheat wanacheat na nani? Si wanacheat na wanawake...(kwa kiasi kikubwa)

NDio hapo and most probabily wanawake ambao ni wake za watu! Nafikiri utafiti huu ulilenga katika kuangalia frequency of sex ndani ya ndoa (bila kujali kama ilifanyika nje au lah) na lengo kuu walitaka tu kujustify kuwa wanawake hawapaswi kuwa na 'final' say kwenye marital sex. Au labda walioreport wamereport nusu report: Kama wanado less ndani ya ndoa, how many times wanado nje ya ndoa?
Kuna tofauti kubwa katika kuuliza ......When was the last time you had sex with your spouse? na when was the last time you had sex. labda wao waliuliza swali la kwanza na kuishia hapo
 
Kwenye hizi tafiti watu huwaga wanadanganya na zipo tafiti juu ya tafiti kuhusiana na udanganyifu wa majibu ya watu kwenye tafiti. Tumia tu hata common sense yako. Mtu akijibu kuwa hufanya sex mara kadha wa kadha kwa mwezi au kwa wiki, wewe na mimi tutajuaje kwa uhakika kuwa hicho anachotumabia ni cha kweli? Njia pekee ya kujua labda iwe mimi au wewe ndiyo tunalala na huyo mtu.

But anyway, check out this piece from Wikipedia regarding the Bradley effect. I know it is about opinion polls but opinion polls and surveys have a lot in common.

I totally agree with you NN but still I believe kuna namna ya kucheck reliability za majibu katika tafiti. Nakumbuka nilifundishwaga mambo ya validity and reliability of data /information lakini siyakumbuki tena so nakuomba spare me usiniulize maswali loh
 
Inategemea na Sample huyu researcher aliyoichukua...kwangu mimi naona alichukua wrong sample na akaigeneralize!
kwa hali ya kawaida kukaa kwa 28 days in average ndani ya ndoa bila kukutana ni ngumu sana.


Interesting topic... mie niko kusoma these USEFUL comments.... Na hizo siku 28 ni same bed na house?? au kasafiri??
 
I totally agree with you NN but still I believe kuna namna ya kucheck reliability za majibu katika tafiti. Nakumbuka nilifunishwaga mambo ya validity and reliability of data /information lakini siyakumbuki tena so nakuomba spare me usiniulize maswali loh

Ni kweli unachosema na ndiyo maana hizi tafiti nyingi huwaga zina +/- percentage ya margin of error. So don't worry. I won't hammer you with more questions.
 
nikitazama kwa kina huu ni uonevu uliopitiliza mwanamke anapelekaje power mpaka kwenye kitanda dah najiuliza hata hilo gemu la mara moja kwa mwezi lina raha kweli au mradi liende maana kama ni stimu ushamkata mwenzio zamani2587600]................ Mwenzangu si umeona, halafu wanailink na women;s power wanataka kusemaje? hata sijawaelewa naona kama wanataka kusema wanawake ni wakorofi wakiwa na power ndani ya nyumba wanaiendekeza mpaka vyumbani? Dictatorship mpaka chumbani??[/QUOTE]
 
Ni kweli unachosema na ndiyo maana hizi tafiti nyingi huwaga zina +/- percentage ya margin of error. So don't worry. I won't hammer you with more questions.
Yaani huu utafiti umenikumbusha kipima joto cha ITV huwa wanahoji watu wawili au wanne halafu wanakwambia aslimia 80 wanasema ndiyo, very funny
 
Interesting topic... mie niko kusoma these USEFUL comments.... Na hizo siku 28 ni same bed na house?? au kasafiri??

AshaDii ni kweli kabisa unachosema hapa and according to that article; umbali wa anapoishi mume na familia yake umeelezwa kama mojawapo ya sababu za hii hali ila mie swalo langu liko kwenye hiyo link inayojaribu kutengenezwa hapo.............when women are in charge............
 
Yaani huu utafiti umenikumbusha kipima joto cha ITV huwa wanahoji watu wawili au wanne halafu wanakwambia aslimia 80 wanasema ndiyo, very funny

Hapana The Finest, hawa wametoa kabisa sample size ya kila nchi husika sema tu sikuzishika vizuri but kuanzia wanawake elfu 3000 kila nchi. Na hebu basi tusilizingumzie sana hili la methods (am sure justifications zipo wajameni, kuna research statistics ambazo nina amini kuwa zinatoa angalau picha iliyo karibu na uhalisia. Mbona tafiti za UKIMWI na prevalence rates zake mnaziamini??? hebu bwana

Zungumzia kwa nini haiwezekani na utoe possibilities nawe eheee!
 
Ni kweli unachosema na ndiyo maana hizi tafiti nyingi huwaga zina +/- percentage ya margin of error. So don't worry. I won't hammer you with more questions.

Aksante Bro, maana duh ungenifanya niikimbie hii thread pamoja na kuwa nimeileta mie na kimbelembele changu! Thanx for sparing me! lol
 
AshaDii ni kweli kabisa unachosema hapa and according to that article; umbali wa anapoishi mume na familia yake umeelezwa kama mojawapo ya sababu za hii hali ila mie swalo langu liko kwenye hiyo link inayojaribu kutengenezwa hapo.............when women are in charge............


Naamini kua when a woman is in charge..... inamvua kabisa confidence mwanaume ya kuweza fanya mpaka hata huyo mwanamke akafurahia.... Unless mwanamke ni Cougher or mwanaume ni Gigolo...
 
Back
Top Bottom